Marais Wastaafu wa Tanzania, wajengewa nyumba na Serikali

Marais Wastaafu wa Tanzania, wajengewa nyumba na Serikali

Huko aliko anajuta sana, lakini ndio keshachelewa.

Kukicha wapo makanisani na misikitini lakini wamejaa ushetani.

..Obama alipostaafu alitafuta nyumba mwenyewe.

..serikali ya marekani haimjengei nyumba.

..hata Library yake ni private donors wanachangia.

..mimi nilidhani hawa wazee tayari wana nyumba za serikali.

..kwa mfano, nyumba anayokaa JK sasa hivi sio ya serikali?

..isije ikawa tayari walishapewa nyumba, halafu wanajengewa nyumba nyingine tena.
 
Kwa hiyo ya Oysterbay kairudisha kachukua ya Masaki?

Au ya Oysterbay yake bado, kaongezewa ya Masaki?

..nadhani Jiwe kaamua kuwahonga.

..haiwezekani wastaafu wawe hawana nyumba za serikali mpaka sasa hivi, wakati sheria inaelekeza wakistaafu wapewe nyumba na serikali.

..wakishapewa hizo nyumba kama hongo wanaanza kutumiwa ktk ajenda za Jiwe.
 
View attachment 1603958
Raisi mstaafu awamu ya pili akikabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali Masaki Dar Es Salaam
View attachment 1603960
Muheshimiwa Magufuli akikagua ujenzi wa nyumba ya raisi mstaafu awamu ya nne anayojengewa na serikali Kawe beach Dar Es Salaam
Hawa watu nawashangaa sana, Kikwete Jumba lake la Migombani Mikocheni wanakaa POPO na MIJUSI tu ,Mwinyi naye Ghorofa zake mbili hazina mtu majani hadi getini na maji taka kwenye mitaro lakini anapewa nyumba nyingine.
 
..nadhani Jiwe kaamua kuwahonga.

..haiwezekani wastaafu wawe hawana nyumba za serikali mpaka sasa hivi, wakati sheria inaelekeza wakistaafu wapewe nyumba na serikali.

..wakishapewa hizo nyumba kama hongo wanaanza kutumiwa ktk ajenda za Jiwe.
Mkapa Dar alikuwa nazo mbili.

Moja Sea View karibu na Aga Khan hospital, nyingine Masaki.

Kikwete ana nyumba ya serikali Migombani St Mikocheni. Tena imetoka kukarqbqtiwa jwa gharqma kubwa muda si mrefu. Kaoewa nyingine Kawe Beach ya Migombani kairudisha serikalini?

Mwinyi alikuwa na nyumba ya serikali Oysterbay Laibon Street mtaa wa Ubalozi wa Marekani wa zamani, siku nyingi sana. Kairudisha serikalini?

Labda wote wanapewa mbili mbili?
 
Sawa ni jambo la kheri kuwakumbuka wastaafu.

jamani tulichukue hili kwa kuwakumbuka wazee wetu pia.

Badala ya kuhonga vimada tufanye kama hivi kwa wazee wetu.
 
Hawa watu nawashangaa sana, Kikwete Jumba lake la Migombani Mikocheni wanakaa POPO na MIJUSI tu ,Mwinyi naye Ghorofa zake mbili hazina mtu majani hadi getini na maji taka kwenye mitaro lakini anapewa nyumba nyingine.
Nyumba ya Kikwete ya Migombani St., Kikwete alilalamika imechakaa, serikali ikamfanyia ukarabati kwa gharama kubwa sana.Muda si mrefu uliopita.
 
Nyumba ya Kikwete ya Migombani, Kikwete alilalamika imechakaa, serikali ikamfanyia ukarabati kwa gharama kubwa sana.Muda si mrefu uliopita.
Inasikitisha sana fedha zetu zinavyochezewa ile nyumba ya kikwete tangia ijengwe haijawahi kukaliwa na mtu yeyote zaidi ya POPO na MIJUSI,sijafika maeneo yale zaidi ya miaka miwili kama wamekarabati basi wanapoteza fedha za bure za walipa kodi.
 
Back
Top Bottom