Marais Wastaafu wa Tanzania, wajengewa nyumba na Serikali

Marais Wastaafu wa Tanzania, wajengewa nyumba na Serikali

WaS
View attachment 1603958
Raisi mstaafu awamu ya pili akikabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali Masaki Dar Es Salaam
View attachment 1603960
Muheshimiwa Magufuli akikagua ujenzi wa nyumba ya raisi mstaafu awamu ya nne anayojengewa na serikali Kawe beach Dar Es Salaam
Wastaafu wa Malawi msubiri zawadi ya Kikokotoo Kipya mtuletee vijisenti hivyo tuwapangishe.
 
Hakika ni matumizi mabaya ya rasilimali zetu, watu ufikiri madini tu ndio rasilimali, hata fedha iliyokusanywa ni rasilimali na unapaswa kutumika vizuri,
Mstaafu gani ambae ni rais anashida ya makazi? Walishajiandalia wakiwa madarakani, tena unawajengea!
 
sheria ndio inavyosema.Wale ni viongozi wachen wamefanya kazi kubwa wanastahili kupumzika.Wajengewe Nyumba nzuri na ulinzi juu maaana pia ni ma chief in comand wastaafu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu fulani anatafuta justification ya yeye kujijengea hekalu.
1603034641380.png
 


Utawala wa sheria.
Kama unataka kulaumu laumu Bunge la Tanzania, sheria ni msumeno.
 


Watanzania tuache wivu.
Nchi tajiri haiwezi kushindwa kujenga vibanda vya viongozi wastaafu.
 
View attachment 1604009
View attachment 1604014
Rais Magufuli leo amemkabidhi Rais mstaafu wa awamu ya pili mzee Ali Hassan Mwinyi nyumba aliyojengewa na serikali masaki jijini Dsm.

Mzee Mwinyi amekuwa akiishi katika nyumba yake mwenyewe pale Mikocheni/ Msasani karibu na nyumbani kwa mwalimu Nyerere.

=====
Sheria inasema:

9.-(1) A leader who held the office of the President of the United Republic, shall upon ceasing to hold office, be granted:

(d) a furnished house containing not less than four bed rooms of which two rooms shall be self contained and shall contain-

(i) a furnished office;

(ii) a servant quarter;


THE POLITICAL SERVICE RETIREMENT
BENEFITS ACT, 1999
Naomba pia mwanasheria utuwekee hapa kuhusiana na pension na michango ya watumishi wa kawaida mara wanapomaliza utumishi wao,yaani wanapokuwa mwamestaafu.

Ni muda gani baada ya kustaafu stahiki kama hizi wanatakiwa wawe wameanza kupewa?
 
Back
Top Bottom