kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Watawala wa Africa ni laaana tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi moja wengine malaika, wengine mizoga tu.
Hao Magufuli amesisitiza kuwa wapambane na kikokotoo kinacho walipa 25% kutoka 75%, yahani blazima walimie meno.Hii sheria ingekuwa kwa watumishi wote wa umma.
Wastaafu wa Malawi msubiri zawadi ya Kikokotoo Kipya mtuletee vijisenti hivyo tuwapangishe.View attachment 1603958
Raisi mstaafu awamu ya pili akikabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali Masaki Dar Es Salaam
View attachment 1603960
Muheshimiwa Magufuli akikagua ujenzi wa nyumba ya raisi mstaafu awamu ya nne anayojengewa na serikali Kawe beach Dar Es Salaam
Sikatai ila ni vyema kuwa na aibu wakati fulani kwa baadhi ya mambo kama hili.Ni sheria mkuu
Mtu fulani anatafuta justification ya yeye kujijengea hekalu.
Kama ni sheria, ndio maana tunapenda Bunge liwe na uwiano mzuri ili kuweza kuzuia kupitisha sheria mbovu, CCM pekee hawana uwezo wa kupinga miswada mibovu inayoletwa na serikali!Ni sheria mkuu
Huo ndio ubinafsi wa mtu mweusiMwinyi anapewa nyumba mpya ya kuishi plus pensheni nene juu, wakati wafanyakazi wengine hata wakistaafu wanacheleweshewa haki zao mpaka wengine wanakufa bila kuambulia chocjote.
Nafahamu vema. Asante.
Mlikuwa wapi wakati hiyo sheria inapitishwa?Huo ndio ubinafsi wa mtu mweusi
Ndio maana Mungu mwenye enzi alimuokoa na kifo licha ya kupigwa risasi 16
Sheria zenyewe hizi zinapitishwa kimya kimya na wabunge wa ccm. Wazee wa ndiyoooo..Mlikuwa wapi wakati hiyo sheria inapitishwa?
Umesahau na lile hekalu pale MikocheniMwinyi ana nyumba Oysterbay. Wamemjenhea nyingine?
Mkapa alikuwa nazo moja Sea View, nyingine Masaki. Kapewa nyingine?
Naomba pia mwanasheria utuwekee hapa kuhusiana na pension na michango ya watumishi wa kawaida mara wanapomaliza utumishi wao,yaani wanapokuwa mwamestaafu.View attachment 1604009
View attachment 1604014
Rais Magufuli leo amemkabidhi Rais mstaafu wa awamu ya pili mzee Ali Hassan Mwinyi nyumba aliyojengewa na serikali masaki jijini Dsm.
Mzee Mwinyi amekuwa akiishi katika nyumba yake mwenyewe pale Mikocheni/ Msasani karibu na nyumbani kwa mwalimu Nyerere.
=====
Sheria inasema:
9.-(1) A leader who held the office of the President of the United Republic, shall upon ceasing to hold office, be granted:
(d) a furnished house containing not less than four bed rooms of which two rooms shall be self contained and shall contain-
(i) a furnished office;
(ii) a servant quarter;
THE POLITICAL SERVICE RETIREMENT
BENEFITS ACT, 1999