Marais Wastaafu wa Tanzania, wajengewa nyumba na Serikali

Marais Wastaafu wa Tanzania, wajengewa nyumba na Serikali

View attachment 1604009
View attachment 1604014
Rais Magufuli leo amemkabidhi Rais mstaafu wa awamu ya pili mzee Ali Hassan Mwinyi nyumba aliyojengewa na serikali masaki jijini Dsm.

Mzee Mwinyi amekuwa akiishi katika nyumba yake mwenyewe pale Mikocheni/ Msasani karibu na nyumbani kwa mwalimu Nyerere.

=====
Sheria inasema:

9.-(1) A leader who held the office of the President of the United Republic, shall upon ceasing to hold office, be granted:

(d) a furnished house containing not less than four bed rooms of which two rooms shall be self contained and shall contain-

(i) a furnished office;

(ii) a servant quarter;


THE POLITICAL SERVICE RETIREMENT
BENEFITS ACT, 1999
Kwanini kaanza na Mwinyi badala ya Familia ya Mwl?
 

Attachments

  • IMG_20200921_190239.jpg
    IMG_20200921_190239.jpg
    25.6 KB · Views: 1
View attachment 1603958
Raisi mstaafu awamu ya pili akikabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali Masaki Dar Es Salaam
View attachment 1603960
Muheshimiwa Magufuli akikagua ujenzi wa nyumba ya raisi mstaafu awamu ya nne anayojengewa na serikali Kawe beach Dar Es Salaam

Huu ni uporaji. Wawe na hakika watatakiwa kujibu haya siku wakifa.

Namhurumia mkapa.
 
View attachment 1603958
Raisi mstaafu awamu ya pili akikabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali Masaki Dar Es Salaam
View attachment 1603960
Muheshimiwa Magufuli akikagua ujenzi wa nyumba ya raisi mstaafu awamu ya nne anayojengewa na serikali Kawe beach Dar Es Salaam
Wawe wana tukumbuka na sisi walala hoi wasijipendelee wenyewe kwa wenyewe sisi pia ni raia wa Tz tunafaa pia kula mema ya nchi japo watuajili tuanze kulipa madeni ya familia zetu zilizokopa kwa ndugu zao ili tusomeshwe
 
Dah, jamaa anatafuta justification ya mambo fulani fulani kwa kila njia.
Ndio maana kwa jeuri alimtuma JK kwenye kampeni yake mbagala jana.

Eti ni Rais wa wanyonge, Hivi marais wastaafu wenye ukwasi na marupurupu kibao ni wa kujengewa nyumba na serikali wakati kuna watu wanateseka kwa njaa mitaani, watu hawana maji ya kunywa mijini na vijijini? JK na Mwinyi wana shida hiyo kweli?

Mungu anawaona; watapata akili wakati wameshachelewa.
 
ukitafakari ni kwa nini Nyerere aligoma kujengewa Nyumba na jeshi utajua kiundani alikuwa ni mtu wa aina gani !!..
Nyerere alijua kuwa yeye kuwa pale alipo anatakiwa kuwa representation ya watu wake ambao wengi hawawezi hata kumudu hata milo mitatu kwa siku. Hii ni kikauli na kimatendo
 
Back
Top Bottom