Marais Wastaafu wamuaga Jaji Augustino Ramadhani

Marais Wastaafu wamuaga Jaji Augustino Ramadhani

Nafikiria pengine Rais wetu ana tatizo fulani la kiafya, ambalo janga kama hili la COVID-19 linaweza kutishia usalama wake, na hii ndiyo sababu anawekwa ktk mazingira kama haya tunayoyaona. Haiwezekani Marais wastaafu tena wenye umri mkubwa sana zaidi yake wawepo ktk masuala yenye kuhitaji itifaki ya kitaifa yeye asiwepo kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usijeshangaa siku moja akaibuka na kusema hao wengine walikuwa wanajitafutia umaarufu tu na siyo kutoa faraja kwa wafiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbavu zangu aisee
Swali ambalo huwa najiuliza, ikiwa coronavirus imemfanya aikimbie Chato na kujificha huko, hivi hii nchi ikivamiwa kijeshi hata na kataifa kama Burundi au Comoro, si atakimbia na kwenda kuishi kwenye meli ya kijeshi kabisa, tena kati kati ya bahari, huku meli ikiwa imezungukwa na meli za kivita za kivita za kuilinda meli aliyojificha!!

Kwa kupenda kuvaa sare za kijeshi sasa... kumbe jamaa full lonya lonya!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ajabu pale Rais anapoamua kujificha kijijini kwao huku raia wake wakiwa kwenye vita. Huyu hafai kuongoza nchi.

Ifikapo Oktoba aonyeshwe mlango wa kutokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ata kama Rais yeyemwenyewe binafsi angependa atoke aende sehemu yoyote anayotaka kikazi au shughuli binafsi, Taasisi iliyopewa jukumu la kulinda usalama wake ikisha mpa maelekezo ya kuto toka hawezi kutoka. Ata nyumbu waaandamane hawezi toka.
Kinacho fanyika ni kwa usalama wa Taifa na heshima ya taasisi iliyo kabidhiwa jukumu la kumlinda Rais. Sasa kwakua Nyumbu hawaelewi lolote kuhusu usalama wa Rais na Taifa basi kaz yao ni kelele. Watu werevu wanabaki wana washangaa. Yaani akili ya Nyumbu wanahisi Rais ni sawa na mwenyekiti wao DJ.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiria pengine Rais wetu ana tatizo fulani la kiafya, ambalo janga kama hili la COVID-19 linaweza kutishia usalama wake, na hii ndiyo sababu anawekwa ktk mazingira kama haya tunayoyaona. Haiwezekani Marais wastaafu tena wenye umri mkubwa sana zaidi yake wawepo ktk masuala yenye kuhitaji itifaki ya kitaifa yeye asiwepo kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Covid tu,huwa hahudhurii misiba ya kitaifa!
 
Radio;
Kwani yale matusi anaambiwa na taasisi waliopewa jukumu la kumlinda kua ayaseme?
Au waziri mkuu na makamu wa rais ndiyo hawana hizo taasisi? au sisi taasisi yetu ni ya kipekee duniani? kwa maneno mengine unasema kua kila anachoshauriwa na taasisi anakitekeleza tofauti na yeye anavyosema kua kila wakati anaenda kinyume na taasisi ya usalama.
Siyo kila jambo lazima useme unakijua; Rais wetu anayo tatizo kubwa sana ya madharau na hii ni tokea utotoni adi sasa. Kawaulize wenyeji wa kijijini kwao pamoja na ndugu zake upate ukweli.
 
Marais wasitaafu wote leo wameuaga Mwili Wa Jaji mstaafu Augustine Ramadhani

Tayari Kwenda Kuzikwa Marais Hao Wakiongozwa Na Mzee Mwinyi, Mkapa na Kikwete Wameuaga Mwili Wa Jaji Huyo Mstaafu.

Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu amen.

View attachment 1436996
Hawa alifanya nao kazi kwa ukaribu na kufahamiana kwa kipindi kirefu sana cha uhai wake haishangazi
 
redio
Acha porojo sio wote wajinga, kazi yako sio kubwabwaja utupolo hapa... redio gani itakuwa TBC wewe..!!
 
Lakini huoni anayofanya wakati yuko Chato? Leo hii ndio mnaona umuhimu wa rais? Wacheni basi kutoa kejeli FYI mimi kwa maoni yangu hao marais wastaafu ndio walifanya kazi wakati wake mfiwa, vile vile haya mambo ya misiba ni maswala binafsi, kumbuka sherehe za Muungano mwaka huu hazikufanyika na mambo mengine kadhaa. JPM yupo nyumbani na kazi anafanya sasa nyinyi mbona mna wasi wasi sana? Inapobidi watu wanamfuata Chato. Hata Baba wa Taifa viongozi walikuwa wanamfuata Butiama itakuwa Chato? Wacheni hayo as I said sio kila kitu cha rais lazima muambiwe, kama ni hiyvo basi badilisheni sharia iliyopo maana haikidhi kiu yenu.

Sikufahamu kwamba wale wanaompiga vijembe, majungu na kejeli kila uchwao wanampenda namna hii na kum-miss.
Unaweza kutukumbusha lini watu walimfuata Nyerere Butiama kwa mambo ya kiofisi wakati akiwa madarakani?

Acha kumsingizia marehemu kwa sababu unajua hawezi kuja kujitetea
 
Hii ya mkulu kujificha kijijini sijawahi kusikia popote Duniani. Magufuli ataingiakwenye Guness book of records.
Polisi wangekuwa na uwezo wa kuua Corona ungemuona hadharani na combati za jeshi , sasa ni bahati mbaya corona haiogopi magwanda ya mtu
 
Ata kama Rais yeyemwenyewe binafsi angependa atoke aende sehemu yoyote anayotaka kikazi au shughuli binafsi, Taasisi iliyopewa jukumu la kulinda usalama wake ikisha mpa maelekezo ya kuto toka hawezi kutoka. Ata nyumbu waaandamane hawezi toka.
Kinacho fanyika ni kwa usalama wa Taifa na heshima ya taasisi iliyo kabidhiwa jukumu la kumlinda Rais. Sasa kwakua Nyumbu hawaelewi lolote kuhusu usalama wa Rais na Taifa basi kaz yao ni kelele. Watu werevu wanabaki wana washangaa. Yaani akili ya Nyumbu wanahisi Rais ni sawa na mwenyekiti wao DJ.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe kawa zidi saaaaaaana tu
 
Nafikiria pengine Rais wetu ana tatizo fulani la kiafya, ambalo janga kama hili la COVID-19 linaweza kutishia usalama wake, na hii ndiyo sababu anawekwa ktk mazingira kama haya tunayoyaona. Haiwezekani Marais wastaafu tena wenye umri mkubwa sana zaidi yake wawepo ktk masuala yenye kuhitaji itifaki ya kitaifa yeye asiwepo kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wetu yupo ngangari na alithibitisha kwa kupiga push ups kwenye kampeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kutukumbusha lini watu walimfuata Nyerere Butiama kwa mambo ya kiofisi wakati akiwa madarakani?

Acha kumsingizia marehemu kwa sababu unajua hawezi kuja kujitetea

Mkuu una umri gani? Mimi nilikuwepo wakati JK Nyerere ni rais. Wakati JK Nyerere anatupa story ya ''nani amfunge paka kengele.''
 
Mkuu una umri gani? Mimi nilikuwepo wakati JK Nyerere ni rais. Wakati JK Nyerere anatupa story ya ''nani amfunge paka kengele.''
Umri wangu wa nn? Nipe kisa kimoja tu cha Nyerere kwenda kuishi kijijini kwake akiongoza nchi. Acha maneno mengi. We niambie alikaa Butiama say toka 1 May hadi 30 May 1978 akiongoza nchi. Simple.
 
Umri wangu wa nn? Nipe kisa kimoja tu cha Nyerere kwenda kuishi kijijini kwake akiongoza nchi. Acha maneno mengi. We niambie alikaa Butiama say toka 1 May hadi 30 May 1978 akiongoza nchi. Simple.

Nikupe kisa kimoja ii iwe nini? Endelea kua na uzuzu wako nikishakwambia nani alikwenda kumwona Mwitongo ndio itakusaidia nini? Sifahamu unafikira kwa kutumia nini.
 
Nikupe kisa kimoja ii iwe nini? Endelea kua na uzuzu wako nikishakwambia nani alikwenda kumwona Mwitongo ndio itakusaidia nini? Sifahamu unafikira kwa kutumia nini.
Looser
 
Back
Top Bottom