Marais Wastaafu wamuaga Jaji Augustino Ramadhani

Marais Wastaafu wamuaga Jaji Augustino Ramadhani

Swali ambalo huwa najiuliza, ikiwa coronavirus imemfanya aikimbie Chato na kujificha huko, hivi hii nchi ikivamiwa kijeshi hata na kataifa kama Burundi au Comoro, si atakimbia na kwenda kuishi kwenye meli ya kijeshi kabisa, tena kati kati ya bahari, huku meli ikiwa imezungukwa na meli za kivita za kivita za kuilinda meli aliyojificha!!

Kwa kupenda kuvaa sare za kijeshi sasa... kumbe jamaa full lonya lonya!!

..alianza na push-ups.

..baadae akaja kuvaa combats.

..lakini jinsi ulinzi wake ulivyo wa ajabu ni rahisi kujua kuwa he is paranoid.
 
Huyu anayo siri kubwa sana.

Wanaoijua wanamstahi kwelikweli, lakini siku moja itajulikana tu kwa nini ana mambo ya kipekee sana kama kiongozi.

Si ajabu angependa mfumo wetu uwe kama ule wa Korea Kaskazini; ungemfaa sana kusitiri siri zake.

Hata hivyo amejitahidi sana kuzima vyombo vya habari, vinginevyo siri zinazomfanya aonekane kuwa mtu wa kipekee sana katika jamii nzima zingekuwa zishafumbuliwa.
 
..alianza na push-ups.

..baadae akaja kuvaa combats.

..lakini jinsi ulinzi wake ulivyo wa ajabu ni rahisi kujua kuwa he is paranoid.
Unajua mwanzoni mwanzoni kabisa mwa utawala wake niliwahi kusema si mara moja wala mara mbili, kwamba JPM ni dhaifu kuliko JK lakini anaficha udhaifu wake kwa kuwatisha watu ili wamuogope.

Wakati ule nilim-judge kwa kuangalia psychological factors tu lakini hivi sasa ame-prove beyond reasonable doubt ni namna gani alivyo muoga!

Na hata mifano yako ya push-ups na kupenda kuvaa combats, nayo yanaakisi kitu kile kile... kujimwambafai ili watu wamuogope! Na wala haikushangaza juzi issue ni maradhi lakini anaongea na watu wa vyombo vya ulinzi na usalama!
 
Back
Top Bottom