Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Yes ni Bangi SIO hizo sacraments zenu za mikate isiyo na chachuSacrament(code)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes ni Bangi SIO hizo sacraments zenu za mikate isiyo na chachuSacrament(code)
No sijawahi... nasijui chochote kuhusu ibada hizo.Ushawahi kushiriki Ibada zake?
Ndio hicho nilimaanisha ila wao ni tofauti na mnavyoichukulia mtaani, ibada zao nimeshiriki ni watu poa sana na ndo dini yenye culture halisi ya africaYes ni Bangi SIO hizo sacraments zenu za mikate isiyo na chachu
Peace and Love
Basi siku omba upelekwe ibadani ukajifukize na WeweNo sijawahi... nasijui chochote kuhusu ibada hizo.
Mweeh! Nope 👎Basi siku omba upelekwe ibadani ukajifukize na Wewe
Ndio hivyo Ila Mshua alikuja badirisha akabatizwa alihama Imani ya rasta akanyoa rasta zote akawa Imani ya Kristu akiwa tayari Mzee kabla ya kufarikiNdio hicho nilimaanisha ila wao ni tofauti na mnavyoichukulia mtaani, ibada zao nimeshiriki ni watu poa sana na ndo dini yenye culture halisi ya africa
Kumbe Kuna Rasta wananyoa vipara?Unazungumzia wenye dread rock au wale wanaonyoa vipara au hujui km rasta wana madhehebu pia?
Marehemu Baba yangu mdogo alikua rasta ndio maana nakuuliza
Haujui?Kumbe Kuna Rasta wananyoa vipara?
Kuna siri gani kwa marasta. Mbona wanapendwa sana na mademu?licha ya wengi kuwa wachafu na maskini lakini wanawake wakila aina wanawashobokea. Nipeni siri
Ndio hivyo Ila Mshua alikuja badirisha akabatizwa alihama Imani ya rasta akanyoa rasta zote akawa Imani ya Kristu akiwa tayari Mzee kabla ya kufariki
Ndo najua Leo iseeeHaujui?
Hakuna siri yoyote zaidi ya ushirikina. Rastafarians ni washirikina kama washirikina wengine. Period.
Kwa akili yako unadhani kuwa mshirikina ni hadi uruke na ungo?Tutakie radhi masta
rasta na ushirikina wapi na wapi
Amiin,RIP mshua
Je, aliweza kusema ni kwanini alibadilisha?
I AM RASTAMAN kifupi tu usiangalie mtu kwa nje man angalia ndani... as we rastaman atuangalii mavaz au kiatu nyumba,gari au mali nkKuna siri gani kwa marasta. Mbona wanapendwa sana na mademu?licha ya wengi kuwa wachafu na maskini lakini wanawake wakila aina wanawashobokea. Nipeni siri