March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

usipotoshe mapema hivi mpaka saa 12.38 uhuru alikuwa anaongoza 84,000 dhidi ya 65,000 za raila, ni mapema mno kutabiri. kuhusu ukanda wa pwani wanamuunga mkono Raila na wala si Kenyata
 
Mambo yalivyo sasa saa moja na dakika 50;

Uhuru - 144,380 - 55.9%
Raila - 107,000 - 40.6%

Kwa jinsi matokeo yanavyotoka, Tanzania tuna kitu cha kujifunza, tume ya uchaguzi iko connected na TV zote na results zinarushwa on line!!!!

Tiba
 
Uchagu unaoendelea kenya unaonyesha ushindani mkali sana kati ya Uhuru kenyatta na Laila Odinga.Kwa hali inayoendelea huko Uhuru Kenyatta inaonekana ataukwaa urais wa nchi hiyo.Uhuru kenyatta anaungwaji mkubwa wa wananchi wa Mombasa na maeneo mengine ya pwani ambayo Laila Odinga safari hii amekosa ungwaji huo.

Kama ambavyo mnavyojua kenya inaukabila wa hali ya juu,ili mgombea aweze kupata nafasi ya kujihakikishia ushindi lazima awe na ushawishi na maeneo ya Mombasa na mikoa ya pwani kwa ujumla ambayo hayaja athirika na ukabila.

Wacha kuharibu jina la mtu,,, laila laila laila... laila ndio nani?
 
Uhuru akishinda, Magufuli hatakanyaga Kenya.
 
idhaa ya kiswahili ya sauti ya Ujerumani imeungana moja kwa moja na mtangazaji aliepo jijini Nairobi bwana Alfred Kiti na kupata matokeo ya awali yaliyorindima hivi punde yanasema Uhuru Kenyatta naongoza kwa 55% dhidi ya Agwambo Raila Amolo Odinga mwenye 41%...
Wagombea wengine wanajikongoja kama ilivyotabiliwa na manabii wa hapa JF...

Ntazidi kuwamegea kadri ntakapozimenya...
 
Hali ilivyo sasa saa moja kamili usiku;

Uhuru - 225,838 - 55.69
Raila - 170,720 - 40.34

Tiba,
 
ahsanteni wakuu!! kenyans r far from us by far!
 
Mambo yalivyo sasa saa moja na dakika 50;

Uhuru - 144,380 - 55.9%
Raila - 107,000 - 40.6%

Kwa jinsi matokeo yanavyotoka, Tanzania tuna kitu cha kujifunza, tume ya uchaguzi iko connected na TV zote na results zinarushwa on line!!!!

Tiba


Mkuu hizo ni saa za China ama za Cambodia?
 
Ndo wamemaliza kupiga kura jamani, yawezekana hayo ni matokeo ya kituo kimoja au viwili na kama ni central province sawa!
 
Usijali uchaguzi huu utakuwa wa amani kbisa, wakenya wamenifurahisha sana ni wazalendo sana! Hivi ni watanzania wangapi huwa wanarudi kwao kupiga kura?

Naangalia citizen naona kenyatta ana ng'ara kwenye baadhi ya vituo!

Your hubby will be fine worry out!
ofkoz ni uhuru! hubby yupo kwao kaenda jana! eti ni kupiga kura, ananipaje mawazo na hapatikani kwenye simu?? nafwaje mie kwa kihoro?? yaani huu uchaguzi upite salama arudi salama! AMEN!
 
update;

Uhuru - 286'000 57.52%
Raila - 199,100 39.31%

Tiba
 
Hapana kabisa, kama ni kura ni sasa wanahesabu!! Labda kwa majimbo mawili, sasa subiri mchuano ndo utaanza wakianza kihesabu majimbo mengi.
 
Back
Top Bottom