Mkuu 7mil ni laki saba?laki saba -acha uongo
kwa vipi ndugunchi ni ya RAILA.
Game still on!
sidhani kama atafungwa wakati yuko madarakani, haitoathiri kituSasa kule ICC itakuwaje akifungwa!! Ha ha ha!! Tusubiri kitufe cha mwisho!
Kwa mujibu wa matokeo ambayo yamekwishatangazwa mpaka sasa ni kwamba Kinyatta ameshapata kura 430,000 na mpinzani wake wa karibu Bwana Raila ameshapata kura 170,400
Chanzo: Daily nation
inanikumbusha Obama v/s RomneyUpdate;
Uhuru - 422,366 - 57.51%
Raila - 283,978 - 38.71%
Tiba