Quastion mark
Member
- Oct 18, 2012
- 48
- 4
uhuru ndo mpango mzma yan hapo wakina Odinga polen sana,,2lpenda sana odinga haongoze ila 2naona Mungu kampenda Uhuru zaidi..Umbeaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uhuru ndo mpango mzma yan hapo wakina Odinga polen sana,,2lpenda sana odinga haongoze ila 2naona Mungu kampenda Uhuru zaidi..Umbeaaaa
Uhuru 57% na Odinga 38% source citizen TV
Nasiliza BBC live hakuna kitu kama hicho
Wangekua wanataja na province hapa tungejua maana isije kua uhuru anaongoza kwa kua tu maeneo yake yamewai kutoa matokeo
udini mkuu rejea 2010Kenya, kura kwa ukabila.
Tanzania, kura kwa nini?
Naona Kafiri unachanganya madesa ! Huko wanapambana na makafiri ya kikuyu, yamechukuwa ardhi yote !
Ila naona Mudavad nayeye amejitutumua ukifananisha na wengine naona Kenya hawapendi kuongozwa na mwanamke kabisa sababu Karua ametupwa sana jamani
Kenya, kura kwa ukabila.
Tanzania, kura kwa nini?
Kenyatta 533---
odinga 357---