March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!



Mkuu, kenya kwa sasa wanatumia teknolojia ya matokeo ya moja kwa moja (online results) ambapo matokeo hujulikana moja kwa moja yanapopatikana. Tume ya Uchaguzi itakachofanya ni kumtangaza rasmi tu mshindi wakati dunia nzima imepata matokeo kama ilivyotokea huko Marekani. halafu wakenya wa sasa wamebadilika, hawamchagui mtu kutokana na wapi anatoka, kabila gani au ana umri gani. wanachagua mtu ambaye atawapeleka pahali pazuri zaidi na ni mchapakazi na si mtu wa porojo
 
mtazamo wangu utakuwa na uharisia namuhitaji kenyata ndio chaguo la mungu mungu huchagua vijana watumike.sipendi viongozi wazee.mf.mugabe.satta,slaa,odinga,belskon.shein.museven.odinga

inaelekea wewe huna baba
 
Really? I thought Uhuru is running for public office like any other citizens. It is Kenyans to decide whether they want him or not. ....ohh..nearly forgot....familiar with democracy cliche from our big brother? Probably you are...
But absolutely I'm very familiar with that cliche but let me ask you this simple question Democracy is a government of the people by the people and for the people but Democracy in Kenya is a government of tf the Kikuyu.by the Kikuyu and for the Kikuyu Why is that????
 
TBCCM wako busy na nyumba ya jirani wakati habari za ndani against CCM's government wanaziskip!
Hivi huyo Mlevi hapo TBCCM Clemence Mshana kwa nini asitoke hata kwa kutekwa Nyara.
 
silaha ana 66 unazungumzia rika au miaka.mtu akizeeka mwili na akili inazeeka
Unaongelea silaha au slaa??? Silaha ni meya na Slaa ni Katibu mkuu CDM. Au unaongelea silaha za wazee wa vitu vizito na vyenye ncha kali????
 
Nikweli Uhuru anaongoza kwasasa, uhesabuji unaendelea ba bado sana, kwani waliojitokeza kupiga kura ni wengi, let us wait! Hivi huu uwazi wa upigaji kura Tanzania tutaufikia? Hapa lawana sidhani kama zitakuwepo maana uwazi ni mkubwa sana! CCM watakubali hii technologia itumike? Kama midahalo tu wanakimbia eti mpaka washirikishwe wakubaliane hadi maswali ya kuulizwa ndo washiriki!
 
mtazamo wangu utakuwa na uharisia namuhitaji kenyata ndio chaguo la mungu mungu huchagua vijana watumike.sipendi viongozi wazee.mf.mugabe.satta,slaa,odinga,belskon.shein.museven.odinga

Hata JK wakati anagombea 2005 aliwadanganya kwamba yeye ni kijana!
 
Kila la heri wana Kenya lindeni kile mmeamua kwa kura zenu.
 
Huwa nachukizwa na rangi za kijani na njano! Siipendi ccm!
 
Na tusubiri tuone nani atakuwa mshindi as long as uchaguzi ulikuwa fair hakuna cha kulalamika hapo nchi atachukua yule aliyeshinda na nadhani labda hakuna uchakachuzi safari hii
 
Uhuru Kenyatta will find it very hard to lead his country if he wins!! Bearing in mind that he has a case to answer in ICC let's keep our fingers crossed and see what he gets out of forcing his way in the Kenyan Top Office

What is ICC by the way?
Wanamtafuta raisi wa Sudan miaka kadhaa sasa, lakini bado tu anaongoza! To hell with them. Kuna wanaosema hii mahakama ilitengenezwa kwa ajili ya kuhukumu viongozi wa Kiafrika, inawezekana hii ikawa kweli! Jiulize, kuna wazungu wangapi wamehukumiwa pale na Waafrika wangapi?
 
Wakenya wenyewe wameshaamua nani atawafaa..., ila kama wamevoti kwa kuangalia ukabila basi inaashiria Kenya kupata raisi asiye mkikuyu ni kazi kweli kweli, almost impossible!
 
Kura mill 14,zilizohesabiwa mill 4! Ngoma bado mbichi,subir waanze kuhesabu za nyanza ndo utajua nani mshnd,

Kweli mkuu!Hata Obama alishinda dakika za mwisho.
 
Vijana wapi unao waongelea? au ni hawa wasio kuwa na busara, wanao kuwa driven na njaa zao kiasi cha kuiba simu, tena simu ya mchina? Hawa hawa wanaofikiria kwa kutumia tumbo badala ya kutumia kichwa?

wafeliji, waoga wa kujitegemea, kula kulala, wakioa wanapewa nyumba au kiwanja na gari na wakwe zao. Kazi kukaa vijiweni kupiga majungu, udokozi na kusubiri JK awape ajira! very dense and SLOW THINKERS hawa.
 
Matokeo ya mwanzoya uchaguzi mkuu nchini Kenya yanaonyesha Uhuru Kenyatta akiwa anaongoza kwa asilimia hamsini na nne dhidi ya Raila Odinga aliye na asilimia arobaini na moja. Ni uchaguzi ambao mamilioni ya wakenya walishiriki kupiga kura licha ya visa vya vurugu kuripotiwa katika baadhi ya sehemu za nchi ambapo takriban watu 15 wakiwemo polisi waliuawa .
[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Wapiga kura kwenye folen[/TD]
[/TR]
[/TABLE]



Mamilioni ya wakenya wanatumai kuwa matokeo ya uchaguzi huu yatawaunganisha wananchi hasa baada ya ghasia kushuhudiwa baada ya uchaguzi wa mwaka 2007. Watu elfu moja na miambili waliuawa na maelfu ya wengine kuachwa bila makao.Wakenya walisubiri kwa zaidi ya saa nane kupiga kura ikizingatiwa kuwa baadhi walikuwa katika vituo vya kupigia kura mapema asubuhi saa za tisa na hata saa nane wakisubiri vituo kufunguliwa.

Matokeo ya mwanzo yanaonyesha Uhuru akiongoza kwa zaidi ya asilimia hamsini dhidi ya mpinzani wake Raila Odinga, 68.
Tume ya uchaguzi inasema kuwa shughuli ya kuhesabu kura huenda ikaendelea hadi Jumatano kwa sababu ya idadi kubwa ya wapiga kura walioshiriki zoezi hilo.
Hatua hii nayo huenda ikachelewesha kutangaza matokeo rasmi ya uchaguzi mkuu.
Watu waliendesha shughuli hiyo kwa amani kwani ndiyo ilikuwa kauli mbiu ya uchaguzi huu kwa hofu ya kutokea tena ghasia za kikabila zilizoshuhudiwa mwaka 2007.

KUJUA zaidi nenda KenyaForums-UPDATES: Matokeo ya mwanzo ya uchaguzi Kenya

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…