March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!


Pia mtajifunza namna ya kuacha kukimbia na masanduku ya kura na kuacha kuchakachua matokeo...
 
Wanajamii ni kweli kama simba sc ingefanikiwa kuifunga LIBOLO YA ANGOLA ingekutana na CHIPUMBU ya Msumbiji?
 
we are going to win this mkuu

Of course its not over until its over lakini mwelekeo unaonyesha tofauti na matumaini yako.

Halafu ikiwa raila atashinda basi intergrity ya tume itakuwa questiened kwa mara nyingine. Haiwezekani mtu aongoze continuously halafu ghafla mambo yabadilike.
 
Naona jahazi la ndugu yetu Raila linazidi kuzama tu. Inabidi atumie ubaharia upi sijui kupindua upepo mbovu kwake. anyway time is the speaks louder
 
Hivi mkuu Tiba,wewe si uko hapo ,hakuna watu wanaolinda kura hapo?
 
wazungu wanaumiza kichwa vijana WENYE FILE KWA BI FATOU BENSOUDA WANAICHUKUA NCHI
 
only 30% of the votes are counted?, wait abit.
 

Asante kwa kunijuza!
 
Watu walibishana sana, mpaka nikamua kwenda Kenya ili niutafute ukweli, nikaupata Rutashubanyuma naye alielezea kwa kina zaidi with concreate details, but yet, watu walidiwa na mapenzi/mahaba na hivyo ku cloud uwezo wao kiakili in reasoning.
Nikaeleza kuwa hakuna namna YOYOTE ile anayoweza kuitumia Raila kushinda Uchaguzi huu, watu wakabisha. Speech ya OBAMA ikammaliza kabisa.
Uhuru is the next Kenyan President, whether you want it or not.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…