March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

Hawa wakenya nao vipi inakuwaje hadi sasa matokeo ya Nairobi bado?

Hata mimi nimeshangaa sana ila ndiyo Citizen TV wanasema wanaanza kutoa ya Nairobi! Ila mkuu Raila hali si njema hata kama babo nyingi hazijahesabiwa! almost Uhur anampita kwa karibia kura laki sita (600,000). Du kazi ipo.,
 
Ni kweli mkuu, Abas Mtemvu mbunge wangu sioni alilotekeleza, na tutamtosa.
 
Raila is going to close the gap. Just wait and see. Kutakuwa na raundi ya pili hapa for sure. Hakuna atakaefikisha hizo 51%. Kura kutoka maeneo mengi yanayom-support Uhuru Kenyata zimejumulishwa, sasa ni zamu ya Raila nae za kwake kujumulishwa
 
Naona hujaelewa huyu ndugu alichokiandika, alichomanisha ni kwamba asilimia kubwa ya wapiga kura hawasikilizi tena sera na ahadi nzuri za mgombea kama kigezo cha kumpigia kwa sababu sera na ahadi ni kama ngazi inayowasaidia kupata kura lakini wakishapata uongozi sera na ahadi hazikelezwi hivyo wapiga kwa sasa hawaoni sababu ya kutumia ilani(sera) kama kigezo cha kuchagua zaidi ya kuangalia vigezo vingine kama kabila, jirani, ndugu au dini au hata jinsia; na amemtaja Mnyika kama mfano angeweza kutaja mbuge yeyote.
 
Hapa ni wazi kazi hipo na hapo ndipo utata unapo anza!

 
Hivi inakuwaje nchi ndogo kama Kenya mpaka sasa wamehesabu asimilia 30% tuu ya kura? Kweli East Africa, we have long way to go.
 
Sijui kwa nini anawalumu Jubilee kuanza kusherehekea, hata kama ningekuwa mimi bila kujali matokeo ya mwisho Kalonzo anafikiri kuongoza toka jana ni mchezo.
 
Tunaiomea Kenya mchakato wa uchaguzi uishe vizuri. Atakayeshinda ndiye chaguo la watu na la Mungu pia.
Mkuu ni sawa lakini usimchanganye Mungu kwenye mambo ya uchaguzi, kwanza utawala wa Mungu hauna cha kupiga kura, ni dictatorship kama jeshi!!

 
Nimemwelewa sana.

Huyo mkuu ni anti-Mnyika, ndio maana nimemjibu hivyo. Kwa maoni yake, Mnyika hapaswi kuongea bungeni mf. tatizo la maji, bali kuwaletea watu wa ubungo maji. Anakerwa mawaziri wanapoulizwa maswali magumu na Mnyika. Kwa nini mfano alioutoa ni mfano wa Mnyika tu.

Humu JF tunafahamiana.
 
Mwanaume kutegemea umbeya kuishi mjini mbaya sana.

Daah! Lameck Madelu aka Mwigulu bhana!!! Ama kweli wewe ni Mchizi wa Ukweli. Vipi wale wanaotegemea kuendelea kubaki madarakani kwa kubaka demokrasia na kufanya mauaji? Hiyo iko poa siyo. Acha unazi dogo....

CC. Ben Saanane
 
Mpaka sasa Uhuru 54%.
Raila 41%
Kura bado znaendelea kuhesabiwa mpambano ni mkali
 
If we factor in spoilt votes, runoff becomes a reality. What! has it been raining somewhere? Impetous child! Yes so many tears.
 
mpaka sasa uhuru 54%.
Raila 50%
kura bado znaendelea kuhesabiwa mpambano ni mkali
kweli huuu ujinga mpaka % hatuzijui hv hii nchi tunaipeleka wapi!? Hebu jumlisha % zako zimezidi 100 kwanini!?
 
Sijui kwa nini anawalumu Jubilee kuanza kusherehekea, hata kama ningekuwa mimi bila kujali matokeo ya mwisho Kalonzo anafikiri kuongoza toka jana ni mchezo.


Suala sio kuongoza tokea jana bali ni kura za wapi zimeshahesabiwa. Kwa jinsi ninavyoona hii ngoma itaenda second round kwani aslimia za Uhuru zinazidi kupungua and we are talking about aproximately 5 millions votes out fourteen millions that were supposed to be casted. This game is too far from over; my advice, get your popcorns ready and enjoy the rollercoaster.
 

uongeacho ni sahihi kabisa, lakini ili uwe safe side, side ya kuumia kuona unachokipenda hakipewi kibali machoni pa watu, inakubidi ukumbuke kuwa only minority ndiyo hutumia akili katika ku reason but majority wanahitaji kutekwa, kushawishiwa nk...just to win them.
Wengine hutafuta personal or group interest to satisfy their desire, hapo ndipo suala la udini, ukabila na asili huibuka.
 
Tanzania kuna hivi vitu 3 uwe navyo ili uwe kiongozi wa nchi
1.Uwe unajua kutoa na kuithamini RUSHWA ili kuwashawishi wapiga kura wakuchague
2.uwe na ushawishi mkubwa wa KIDINI
3.Jifunze kuwa MUONGO kwa hali ya juu sana,bila kudanganya hupati kura hata moja
 
kweli huuu ujinga mpaka %
hatuzijui hv hii nchi tunaipeleka wapi!? Hebu jumlisha % zako zimezidi
100 kwanini!?

WANAJANVI hum ndani tunaviplate kinoma kashindwa kujua ata Odinga anaasilimia ngapi? shem on u. Odinga mida hiyo alikuwa na 40.7%.
 

muda mfupi kama saa moja ilopita Uhuru alikuwa na silimia 55 na Odinga 40. sasa hivi 17:34 Uhuru ni 53.6 na Odinga ni 42. hii ni kwa mujibu wa Kenya Elections 2013 - Daily Nation
 
Kama ni mpinzani wa Mnyika na unamjua siku zote hapo sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…