Hawa wakenya nao vipi inakuwaje hadi sasa matokeo ya Nairobi bado?
Ni kweli mkuu, Abas Mtemvu mbunge wangu sioni alilotekeleza, na tutamtosa.Usiwalaumu voters. Kilichopo katika nchi yetu ni kwamba wapiga kura wana uzoefu wa kuona viongozi hawatekelezi ahadi zao. Kwa hiyo zile sera wanazozihubiri huwa ni sound tu za kuingia madarakani. Hata ukichagua kwa sera haisaidii kitu kwa sababu in the end yatakayofanywa ni mengine.
Ili watu wachague kwa kupima sera ni LAZIMA waamini kuwa sera zinazohubiriwa kwenye majukwaa ndizo zitakazotekelezwa.
Ukitaka kuthibitisha hili anzisha thread ya kuuliza Mnyika ametekeleza vipi ahadi zake? Utashambuliwa na watakaokushambulia watakwambia yale aliyoahidi sio jukumu lake kutekeleza!!!
Ndio maana watu wanachagua kwa preferences za jinsi wanavyojisikia karibu na mgombea either kwa urafiki, ujirani au sababu nyingine.
Naona hujaelewa huyu ndugu alichokiandika, alichomanisha ni kwamba asilimia kubwa ya wapiga kura hawasikilizi tena sera na ahadi nzuri za mgombea kama kigezo cha kumpigia kwa sababu sera na ahadi ni kama ngazi inayowasaidia kupata kura lakini wakishapata uongozi sera na ahadi hazikelezwi hivyo wapiga kwa sasa hawaoni sababu ya kutumia ilani(sera) kama kigezo cha kuchagua zaidi ya kuangalia vigezo vingine kama kabila, jirani, ndugu au dini au hata jinsia; na amemtaja Mnyika kama mfano angeweza kutaja mbuge yeyote.Nitolee mfano wa mbunge wa Tanzania aliyetekeleza ahadi zake na akarudi bungeni kwa sababu hiyo, na uniambie ni nani na ni ahadi gani hizo.
Nitolee pia mifano ya wabunge ambao wamekataliwa kwa kutotimiza ahadi zao.
Hivi Juma Kapuya, John Komba, Anna Makinda na Abas Mtemvu, walitekeleza ahadi gani mpaka wakachaguliwa tena kama si ushabiki wa CCM? Hata jukumu la uwakilishi wa watu wao unaweza kujivunia nini.
ZeMarcopolo, ukipenda chongo utaita kengeza.
...Haa ha ha, Kalonzo Musyoka akizungumza na Wanahabari, akisema mpaka sasa ni 30% tu ya kura zimehesabiwa na kuwalaumu Jubilee kwa kuanza kusherehekea ushindi wakati eti hakuna anayejua ni nani kashinda mpaka kura zitakapokamilika, ukiisoma body language yake na ya James Orengo aliyekuwepo nyuma yake hautahitaji ushahidi wa IEBC kuwa tayari CORD wameshachinjiwa baharini...
Sijui kwa nini anawalumu Jubilee kuanza kusherehekea, hata kama ningekuwa mimi bila kujali matokeo ya mwisho Kalonzo anafikiri kuongoza toka jana ni mchezo....Haa ha ha, Kalonzo Musyoka akizungumza na Wanahabari, akisema mpaka sasa ni 30% tu ya kura zimehesabiwa na kuwalaumu Jubilee kwa kuanza kusherehekea ushindi wakati eti hakuna anayejua ni nani kashinda mpaka kura zitakapokamilika, ukiisoma body language yake na ya James Orengo aliyekuwepo nyuma yake hautahitaji ushahidi wa IEBC kuwa tayari CORD wameshachinjiwa baharini...
Mkuu ni sawa lakini usimchanganye Mungu kwenye mambo ya uchaguzi, kwanza utawala wa Mungu hauna cha kupiga kura, ni dictatorship kama jeshi!!Tunaiomea Kenya mchakato wa uchaguzi uishe vizuri. Atakayeshinda ndiye chaguo la watu na la Mungu pia.
Nimemwelewa sana.Naona hujaelewa huyu ndugu alichokiandika, alichomanisha ni kwamba asilimia kubwa ya wapiga kura hawasikilizi tena sera na ahadi nzuri za mgombea kama kigezo cha kumpigia kwa sababu sera na ahadi ni kama ngazi inayowasaidia kupata kura lakini wakishapata uongozi sera na ahadi hazikelezwi hivyo wapiga kwa sasa hawaoni sababu ya kutumia ilani(sera) kama kigezo cha kuchagua zaidi ya kuangalia vigezo vingine kama kabila, jirani, ndugu au dini au hata jinsia; na amemtaja Mnyika kama mfano angeweza kutaja mbuge yeyote.
Mwanaume kutegemea umbeya kuishi mjini mbaya sana.
kweli huuu ujinga mpaka % hatuzijui hv hii nchi tunaipeleka wapi!? Hebu jumlisha % zako zimezidi 100 kwanini!?mpaka sasa uhuru 54%.
Raila 50%
kura bado znaendelea kuhesabiwa mpambano ni mkali
Sijui kwa nini anawalumu Jubilee kuanza kusherehekea, hata kama ningekuwa mimi bila kujali matokeo ya mwisho Kalonzo anafikiri kuongoza toka jana ni mchezo.
mkuu Consigliere ukabila pembeni kwanza tuangalie sera za candidate mhusika,most voters in East Africa ukiwauliza kwanini unampenda mgombea fulani? atakujibu
1.ni mkristo/muislamu mwezangu
2.ni kabila la kwetu
3.nimetokea tu kumpenda
tunapiga kura kwa mazoea tu,hakika hata mm ningesimama nafasi ya Uhuru Kenyatta ningekuwa rais wa kenya jpokuwa sina sifa yoyote zaidi ya kabila
kweli huuu ujinga mpaka %
hatuzijui hv hii nchi tunaipeleka wapi!? Hebu jumlisha % zako zimezidi
100 kwanini!?
nimejaribu kutafuta wastani wa matokeo hayo kwa kujumlisha asilimia za kila jimbo kwa kila mgombea na kutafuta wastani. Nimepata kuwa kama yanaakisi matokeo ya mwisho basi uhuru anaweza akashinda kwa asilimia 50.6 na Odinga anaweza kupata asilimia 45.2. hata hivyo, kwa kuwa matokeo yaliyotolewa kwenye link hiyo kwa kila jimbo yametolewa kwa asilimia lolote laweza kutokea kwa sababu matokeo ya asilimia sio lazima yaakisi matokeo ya kura mojamoja zikijumlishwa kwaa nchi nzima na kutafutiwa asilimia kwa pamoja. kwa mfano fikiria mgombea wx katika jimbo A amepata kura 80 kati ya 100 zilizopigwa sawa na 8o% na katika jimbo B amepata kura 0 kati ya kura 10 zilizopigwa sawa na 0%. Mgombea yz amepata kura 20 kati ya 100 zilizopigwa katika jimbo A sawa na 20% na katika jimbo B akapata kura zote kumi kati ya kumi zilizopigwa sawa na asilimia 100%. ukitumia kutafuta wastani kwa kutumia asilimi yz ndo mshindi. lakini ukijumlisha kura moja moja na kuatafuta asilimia wx ndio mshindi. kwa hiyo mgawanyo wa kura kama unavoonekana kwenye link hiyo inawza kuakisi matokeo ya mwisho au isiakisi. tungoje na kusubiri tume itoe matokeo.
Kama ni mpinzani wa Mnyika na unamjua siku zote hapo sawa.Nimemwelewa sana.
Huyo mkuu ni anti-Mnyika, ndio maana nimemjibu hivyo. Kwa maoni yake, Mnyika hapaswi kuongea bungeni mf. tatizo la maji, bali kuwaletea watu wa ubungo maji. Anakerwa mawaziri wanapoulizwa maswali magumu na Mnyika. Kwa nini mfano alioutoa ni mfano wa Mnyika tu.
Humu JF tunafahamiana.