Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,928
Hawa wakenya nao vipi inakuwaje hadi sasa matokeo ya Nairobi bado?
Hata mimi nimeshangaa sana ila ndiyo Citizen TV wanasema wanaanza kutoa ya Nairobi! Ila mkuu Raila hali si njema hata kama babo nyingi hazijahesabiwa! almost Uhur anampita kwa karibia kura laki sita (600,000). Du kazi ipo.,