mzee wandimu
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 470
- 230
mmmmmh!
wakuu, nasikiliza deutche welle sasa. matokeo yote ya urais yamefutwa wanahesabu upya manually.
Hivi Safaricom haina uhusiano na Vodacom ya Tz?kama ndio basi mchezo wote chini ya RO.
Hivi Safaricom haina uhusiano na Vodacom ya Tz?kama ndio basi mchezo wote chini ya RO.
habari ninayoipata sasa hivi toka redio ujerumani ni kwamba tume imefuta matokeo na kuanza kuhesabu upya.
this is what Happened around saa saba
Kisumu County Results: Raila 336,539 (96.5%); Uhuru 4,611 (1.32%); Mudavadi 3,767; Kenneth 578; Kiyiapi 368; Karua 176; Dida 209 #Ballot2013
Kizuri ni kwamba siasa zimewekwa kando katika kukabiliana na uzito wa hitilafu au rafu zilizokuwemo kwenye mfumo mzima wa kuhesabu kura, kukusanya na kutoa matokeo. Ninazisifu sana media za Kenya kwa kutanguliza utaifa mbele kulinda Amani waliyonayo zamu hii. Kumekuwa na mikutano ya ndani/siri kati ya Watoa huduma (Safaricom), IESB na vyama husika kujadili makosa haya na kufikia muafaka kwa kwa njia ya amani, busara na hekima za hali ya juu. Hizi taarifa zipo kwa media houses za Kenya lakini hawajathubutu kuzileta kwenye umma.habari ninayoipata sasa hivi toka redio ujerumani ni kwamba tume imefuta matokeo na kuanza kuhesabu upya.
Mwenzio nimeamua kukaa hapa LIVE: Kenya counts votes in pivotal elections - CAMPAIGN NEWS - elections.nation.co.ke maana naona JF hakuna updates. Na tangu tatizo libainike kuna mabadiliko makubwa sana. Hata gap kati ya RA na UK linapukutika kwa kasi. Mfano check hizi updates:
17:19 IEBC official presidential results from six constituencies:
Constituency Raila Odinga Uhuru Kenyatta Musalia Mudavadi Rejected Votes Rongo 33,728 1,103 57 Wundanyi 16,528 1,327 167 Kajiado South 17,500 24,000 104 Kajiado Central 19,995 14,745 110 Diaspora 1,224 951 10 Mwatate 19,816 1,888 236
KAUNTI ya Kisumu: Raila 336,539 (96.5%); Uhuru 4,611 (1.32%); Mudavadi 3,767; Kenneth 578; Kiyiapi 368; Karua 176; Dida 209 ; Muite 88.
KAUNTI ya KISII, matokeo ya muda: Raila 235,934; Uhuru 95,006; Mudavadi 2,607; Kenneth 2,606; Karua 2,464;Kiyiapi 2,080; Dida 925;Muite 727
IEBC: Mwatate - Kiyiapi 192; Karua 263; Dida 99; Mudavadi 326; Muite 58; Kenneth 183; Raila 19,816; Uhuru 1,888. Zilizoharibika 238.
KURA za Kakamega: Raila 291,462; Mudavadi 137,223; Uhuru 14,919.
Matokeo ya nje ya nchi: Raila 1,224; Uhuru 951; Mudavadi 20; Kenneth 78; Muite 1; Dida 6; Kiyiapi 7; Karua 31
Kaka Tiba tusaidie. Hayo matokeo hapo juu hayathibitishi kuwa kulikuwa na hitilafu?
Jamani tusisahau kuwa katibu mkuu wa ccm yupo huko Kenya.
.