March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

What the fnck is going on?
Mutoto ya mjini Uhuru mbona wanamfanyizia hivi bana??
 
Citizen wanachotoa ni official or final results ukipenda si provisional tena.

.......

Final presidential results to be announced on friday according to IEBC , kama kweli unaangalia citizen ndo kitu kinachoonekana kwenye mstari wa dondoo, ni OFFICIAL BUT NOT FINAL.
 
Hii ndio Afrika. Ila ya Ngoswe mwachie Ngoswe..

kuna mtu kanidokeza hakaz walihak system wakamjazia kenyata kura zaidi ya 400,000 na wajanja wa odinga walipogundua wakaanzisha zoezi lao la kuhesabu kila kura kutoka kila kituo baada ya kugundua tofauti wakalalamika kwa tume ndo mvurugano ulipoanzia.wamebaini utata thats why wameamua kuhesabu macho kwa macho jino kwa jino.
 
Huyu weka mbali na tembo anataka wakenya walete upuuzi wa kimagamba,komaeni jaman huyo msomali asije waharibia nchi...
Ngoja wajipendekeze kwa hilo jangiri wakijastuka tembo wao wamemalizwa, chezea jangiri wewe.
ndo walewale. rostam aziz yupo kenya. mia
uchaguzi uliopita CCM waliingilia hadi kukawa na machafuko halafu eti Mkapa na JK wakaenda kusuluhisha,
nilishangaa mwizi wa kura Kibaki kuja Tz na jina la barabara (old bagamoyo) kupewa yeye badala ya Dr.Slaa.
 
Hii kitu italeta shida Kenya ... Sipati Picha walioanza kunywa bia kabla
 
Hayo ni matokeo ya DIASPORAH wakenya wanaoishi East African countries, siyo matokeo ya huko Kenye, nashauri huyu mtu apigwe BAN mpaka uchaguzi wa kenya upite amepotosha kwa makusudi!
 
..haa ha ha, AbTitchaz, matokeo ni yaleyale, tofauti sasa yanaingizwa manually..

Kamanda nadhani uko nyuma na matangazo. Yale matokeo tulokua tukipata awali yalikua manipulated.
Somebody hacked into the IEBC system wakawa wanacheza na figures. Hii nd'o sababu ilofanya kura
zihesabiwe upya.
 

Yaani ulivyaoandika kwa jazba, kama Wakenya wenyewe wakisambaziwa ulichoandika wakagundua haya yanatoka kwa Mtanzania mwenye uchungu, wasingeamini! Duh! kimekuuma kweli!
Dunia hii ina mambo!

Inanikumbusha yule jamaa nafikiri ni Mkenya aliyejinyonga baada ya kusikia timu Chelsea ya Uingereza imefungwa, halafu wachezaji wa Chelsea walipopata habari walisikitishwa na kushangzwa sana, mchezaji mmoja akasema yeye ameshangazwa sana alijua huu ni mchezo tu, kumbe kuna mtu maelfu ya km ameumizwa kiasi hicho mpaka akajiua, sasa ndiyo wewe, angalia usije ti ukajiua ukisikia Uhuru Kenyata katanganzwa kuwa raisi!
 

mkuu sigachuma hawa wapuuzi siwakuachiwa waendelee kupumua na kuvuta hii hewa safi tunayoenjoy sie watu safi,hawa ni watu wanaocheza na roho za watu,siwakuvumiliwa hata kidogo hawa magaidi.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…