Tisha-TOTO
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 1,175
- 604
What the fnck is going on?
Mutoto ya mjini Uhuru mbona wanamfanyizia hivi bana??
Mutoto ya mjini Uhuru mbona wanamfanyizia hivi bana??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Citizen wanachotoa ni official or final results ukipenda si provisional tena.
.......
Hii ndio Afrika. Ila ya Ngoswe mwachie Ngoswe..
Huyu weka mbali na tembo anataka wakenya walete upuuzi wa kimagamba,komaeni jaman huyo msomali asije waharibia nchi...
Ngoja wajipendekeze kwa hilo jangiri wakijastuka tembo wao wamemalizwa, chezea jangiri wewe.
uchaguzi uliopita CCM waliingilia hadi kukawa na machafuko halafu eti Mkapa na JK wakaenda kusuluhisha,ndo walewale. rostam aziz yupo kenya. mia
jina lako tu linajidhihirisha.Ficha upumbavu wako onyesha busara zako lakini wewe unafanya kinyume
Mwananchi source ni LIVE: Uhuru holds lead in Kenya elections - CAMPAIGN NEWS - elections.nation.co.ke.
Hapo unapata kitu live kama uko kwenye runinga. Ni kweli Raila anaonekana kuongoza, tungoje wamalize kabisa kuhesabu manually.
Hii kitu italeta shida Kenya ... Sipati Picha walioanza kunywa bia kabla
.......
Tukuamini tu! Hivyohivyo na nguo zako.
umepata wapi hizo data
dah! Hii mambo mbaya sana! Hackers walikuwa wananyonyoa kura za Odinga aisee.
Haya mama D nimekusoma, wanatuchelewesha kusherehekea sisi watu Jubilee.Hivi kujumlisha sio kuhesabueeeee??
Ila nadhani nimesomeka mkuu
Mkuu sikusomi vizuri upo upande upi katika mtanange huu?
..haa ha ha, AbTitchaz, matokeo ni yaleyale, tofauti sasa yanaingizwa manually..
..
Mkuu hata mimi nilishangaa sana. Huwezi kuona eti kuna constant number difference kati ya Kenyata na Odinga at either 6xxx or 5xxx. Jana tangu asubuhi nilikuwa na-compute tu differences and I was wondering why. Huo engineer anyongwe hadharani kabisa maana anachezea demokrasia za watu. Sasa basi chopa zimeduata matokeo yafanyike mannually ni bora wahesabu siku kumi iwe halali kulika kubaka demokrasia. Long live independent electoral commission of Kenya. Hope things will work better in Tz 2015 havind independent commission in place!! Mwisho wa wizi.
Mwenzio niko upande wa haki!...:A S shade:
sasa nimepata pict. nilikuwa sijazipata updates hizo wakuu... nimekubali hawa akina UHURU NA RUTO ni WAHAINI kwa asilimia 100... haiwezekani wadanganye umma wa dunia hii zaidi ya siku tatu sasa... sasa naona wanabuni jinsi ya kuroga akili ya wakenya wanaotumia analojia kuhesabia
Tukuamini tu! Hivyohivyo na nguo zako.