Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
2007 machafuko yale ya Kenya yana mkono wa CCM, nashangaa kwanini mahakama ya ICC hawakuliona hilo, ya mwaka huu pia yana mkono wa hawa majangili.
Hapo hatuna wasiwasi Jubilee tutaibuka kidedea tena hakuna cha second round.Mkuu Masuke kuna habari ati ushindi wa uhuru ulkua wa mpito....sijui ni kweli??
LATEST NEWSKenyatta 2,978,119Raila 2,756,551WAPENZI WATAZAMAJI MCHUANO NI MKALI KABISAKwa vipi zitaitumbukiza Kenya matatani kama member amepost hapa ili tupate picha ya kinachoenda kutokea? Au uko tayari kuangusha varangati kwa sababu ya uchaguzi wa Kenya?
Binafsi mimi napongeza kusimamisha hayo matokeo kwani kitu mbaya ilikuwa inaenda kutokea!
Kuna engineer mmoja wa safaricom ambaye matokeo alikuwa anayadoctor kabla ya kuyarusha HOUSE OF BOMASI na tume kuyarusha bila hata kudhibitisha! Baada ya kustuka tume imekodisha hadi chopa kuwafuata wawakilishi toka majimbo yote kuja Nairobi physically ili waweze kuhakiki yale yaliokwisha tangazwa na ambayo bado basi sasa hivi hakuna kupitia safaricom ni mwendo wa manual!
Nafikiri ni hatua nzuri kwa amani ya kenya na husisahau tume ina siku saba za kutangaza maatokeo na sasa ndo tunakaribia 48hrs.
Msomali A.K amemdanganya huyo Engineer kuchakachua matokeo, imekula kwake-atajuta kufanyiakazi ushauri wa Jangiri la Meno ya Tembo!
LATEST NEWSKenyatta 2,978,119Raila 2,756,551WAPENZI WATAZAMAJI MCHUANO NI MKALI KABISA
Umeinyakua wapi mkuu?
Nadhani bila ya kuwa makini na tume ya uchaguzi, vyama pekee havitaweza kusimamia matokeo yao. Cha msingi na sisi (TZ) kuunda tume huru na yenye lengo la kulinda maslahi ya nchi. La sivyo maana halisi ya kupiga kura itapotea..
Hiki ni kichekesho Tanzania kuunda tume huru? tangu lini. Tuna rundo la kesi tumeshindwa kufanya hizo tume, ghalfa tukawaundie wengine?
Kamanda nadhani uko nyuma na matangazo. Yale matokeo tulokua tukipata awali yalikua manipulated.
Somebody hacked into the IEBC system wakawa wanacheza na figures. Hii nd'o sababu ilofanya kura
zihesabiwe upya.
ZeMarcopolo tusikimbiane,am still on team Raila.
Mkuu hakuna kura zinazohesabiwa upya, bali official results zinahakikiwa physical ili kupata matokeo rasmi, ata kama system ingefanya kazi vizuri ili bado hili zoezi la kudhibitisha lingefanyika tu, so kwa kuwa system imefeli sasa matokeo yale ya jumla yaliyotoka majimboni yanaingiziwa pale Bomas, hakuna cha kushangilia hapa mkuu,na hakuna wizi wowote wa kumanipulate data uliojdhibishwa mpaka sasa, jiandae tu kisaikolojia kwani kabla usiku huu haujaisha Kenyatta anarudi sehemu yake.