Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,962
- 721
Hata kama Odinga akishinda itabidi atumie busara za hali ya juu kuhakikisha amani inatulia nchini mwake. Pamoja na kwamba sina kuolifikisheni za kuwa adivaiza wa prezidaa, naamini itakuwa vyema kumvuta Uhuru Kenyatta kwenye ka-nafasi ka juu ili kuondoa imani kwa wakikuyu kuwa wameonewa. That's in Kenyans' Best interest unless ICC iamue kuweka mitego mingine ya kumkamata Uhuru. Whoever wins anahitaji kutengeneza mamlaka itakayoaminika kwa pande zote.