March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

Sioni tofauti kubwa na mwanzo

Bado nina-believe hii poll itaenda kwa second round na Raila atawika kwa hiyo round. Kama decision itakuwa ni hii round ya kwanza basi Uhuru ataibuka mshindi na atengeneze serikali ya skyping kutokea huko The Hague,
 
Bado nina-believe hii poll itaenda kwa second round na Raila atawika kwa hiyo round. Kama decision itakuwa ni hii round ya kwanza basi Uhuru ataibuka mshindi na atengeneze serikali ya skyping kutokea huko The Hague,
Mkuu hiyo The Hague ilikuwa njama ya akina Raila ili jamaa wasiweze kugombea kipindi kilichokuwa kinafuata, bahati mbaya sana hawakuiweka kwenye katiba kwamba mtu akishatuhumiwa harusiwi kugombea, wahusika wakubwa wa yale machafuko ni Raila na Kibaki shangaa ni kwa nini wao hata mmoja hakuna aliyeshitakiwa.
 
Waacheni wakenya wachague wanaeona anafaa. Sio wa kwetu huyo.
 
107 of 290constituenciesreporting 4,433,513 number of validvotes cast


UHURU KENYATTA JUBILE 2,443,278 votes 55.1%


RAILA ODINGA CORD 1,769,357 votes 39.9%


ODM & CDM mtaisoma number hatariiiiiii jamaa anakimbizwa mbio za magari ya mwenge poleni sana
 
At 9:20 with 101 out of 291 constituencies done, Uhuru Kenyatta has 2,416,262 votes; Raila Odinga has 1,847,812. The rejected votes are 38,327. Valid votes are 4,485,705. Total votes cast are 4,524,384.
This is according to: LIVE: Uhuru maintains lead in official results - Politics - nation.co.ke

At 10:38 with 104 out of 291 constituencies reporting, Kenyatta has 2,427,787; Odinga has 1,900,418; Mudavadi has 153,353; Kenneth 22,770; Karua 15,369; Kiyiapi, has 14,462; Dida 10,793; Muite has 4,388. Rejected votes are 38,619. 4,601,549 votes cast.

At 10:53 with votes from 108 constituencies out of 291 counted, Kenyatta has 2,475,700; Odinga has 1,928,627; Mudavadi has 153,571; Kenneth 23,085; Karua 15,422; Kiyiapi, has 14,529; Dida has 13,626; Muite has 4,413. Rejected votes are 38,954. Votes cast 4,670,484
 
 
tofauti ya kura laki sita bado inang'ang'ania.
 
Ile ile laki sita, Duhh, nimeanza kuona mruerue. Lakini tuyaache mapenzi ya waKenya yatimie. Kuna wakati wa kila jambo.
 
Wakenya wameingiliwa na siasa za Tanzania, watarudia rudia kuhesabu mpaka wampate wanayemtaka aka chakachua kwenda mbele. Kuna mtu mwenye memorandum of understanding between Kibaki na Raila in 2007 after election saga, kuna member anayo tujikumbushe ili muone jinsi siasa zilivyo ngumu!!
 
Wakenya wameamua sisi tuwapongeze tu, ila tunawaomba waendeleze amani na utulivu tu ili tuzidi kuifanya Afrika Mashariki mahali pazuri pa kuishi
 
Ile ile laki sita, Duhh, nimeanza kuona mruerue. Lakini tuyaache mapenzi ya waKenya yatimie. Kuna wakati wa kila jambo.

Hakuna ukweli kwa hilo!
Ikumbukwe matokeo ya kielekitronikali Uhuru alikuwa akiongeza idadi ya kura ilhali asilimia ilikuwa palepale.

Kuhusu kula kung'ang'ania 600,000 si kweli pia. Tazama hapa
9:47AM- #IEBCOfficialResults : #Uhuru 2,416,321 #Raila 1,880,908; Rejected
38,426. This, as per results
reported in 102
constituencies.

Uhuru 2,416,321 ukitoa za Raila 1,880,908 zinabakia 535,413

Nawaomba tuwe makini katika kufatilia kula za Wakenya na si kuandika bila ushahidi.
 
Huu uchaguzi una kila dalili ya kutaka kuharibiwa.. Kuna watu wenye akili zao na nguvu nyingi ambao hawako tayari kuona Uhuru anakuwa president.. Na hawa ndo walio-tamper na hizo eletronik machines.. SafariCom japo IEBC wanawakingia kifua na kuwaondoa kwenye lawama lakini wanahusika kwenye sakata la machine hizi.. Naomba Mungu awasaidie wakenya waepuke vurugu..
 
107 of 290constituenciesreporting 4,433,513 number of validvotes cast


UHURU KENYATTA JUBILE 2,443,278 votes55.1%


RAILA ODINGA CORD1,769,357 votes39.9%


ODM & CDM mtaisoma number hatariiiiiii jamaa anakimbizwa mbio za magari ya mwenge poleni sana

Jamani hivi kuna mazingira kwamba mtu anapata negative votes? Nauliza hivi kwa kuwa last report ilionyesha kwamba Raila alikuwa na kura 1,880,908 wakati maeneo bunge yaliyohesabiwa yakiwa 102, sasa inakuwaje maeneo bunge yameongezeka mpaka kufikia 107 na kura za Raila kupungua na kuwa 1,769,357 kama ulivyoonyesha?

Acha kuleta matokeo ya kupikwa hapa, liheshimu jamvi.

Tiba
 

Sijakuelewa unamaanisha nini Mkuu, kwenye electronic kinachosemekana ni kuwa walikuwa wanachakachua matokeo na Uhuru kuongoza na machine waliziseti kusiwe na badiriko katika tofauti waliyoitaka na lengo lao Uhuru ashinde.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…