Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This ain't over till its over.., and in this case when its over (last vote counted) it might not be over.., Back to square one again..
alie lala usimwamshe.sio vibaya kwa cc kufuatilia siasa zao.hawa jamaa eti kwa kuwa wanajiona wanakifahamu kizungu wana act as if they dont care to follow political affears of neighbouring countries.mmarekani pamoja ubabe wake kidunia leo hii anahaha kupandikiza majasusi wake kila nchi hata ktk nchi hizi za kimaskini ili tuu apate kufahamu zinaendeje kisiasa,kijeshi,kiuchumi nk.Hivi Wakenya nao huwa wanafuatilia uchaguzi wa Tz kama sisi wa Tz tunavyofuatilia wa kwao?
...naona kuna mtu ashaanza kumpigia honi mwenzake.....!!
Bado majimbo 28. Tofauti ya kura inazidi kushuka toka laki 7 hadi sasa laki 2+. Hadi wamalize hakika mambo yatabadilika