March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

mtazamo wangu utakuwa na uharisia namuhitaji kenyata ndio chaguo la mungu mungu huchagua vijana watumike.sipendi viongozi wazee.mf.mugabe.satta,slaa,odinga,belskon.shein.museven.odinga

kikwete, sitta, malecela, mandela, billal. Hao vipi?
 
waliojiandikisha ni milion 14 waliopiga kura ni asilimia 70%kwa hiyo kura zinazoshindaniwa ni miliono 9 tayri wamehesabu miliono 4 bado milion 5 uhuru anaongoza kwa zaidi ya kura laki sita lakini bado kura mil 5 hazijatangazwa tusubiri tuonr ila uhuru ana nafasi kubwa
 
Ndo itakavyokuwa 2015 Lowasa akichukua nchi hahaha!

Nyerere alikuwa waziri mkuu wa mwisho kuchukua nchi kama raisi mbona hata Raila alishindwa kujifunza hili akakubali kupewa uwaziri mkuu anagalia leo inavyomla na kwa huyu baba yako unayempigia kampeni za mapema itakuwa hivyohivyo. kama umesahau Uingereza iliwahi kuomba zile hela za kununua nyumba zichunguzwe serekali ikajifanya kichwa ngumu sasa 2015 ndio utaona pale watakapokuja kusimamia uchaguzi hapa watumwagie na mamashine ya kuhesabia kura utaona matokeo yatakuwa kma haya ya wakenya tu. Kama umesahau hata uchaguzi ulipita matokeo yalianza kuflow kwa mtindo huo mara ikatungwa seria ya haraka kuwa hakuna kutangaza matokeo kutoka majimboni na wakaa nayo wakacheza nayo ndio wakatupa bomu hili tulilonalo wengo ngoja kwanza baba yako mwenyewe sijui hata kama afya yake itamruhusu kufika 2015 na akifika hatutaki kuja kupepea bendera nusu mlingoti na kurudia uchaguzi maana una gharama sana
 
fora statement on the ongoing
iebc presidential vote tallying
1.the friends of raila (fora)
secretariat thanks kenyans for
coming out in large numbers and
conducting ourselves in a patriotic
and orderly manner during the
historic voting exercise yesterday,
march 4, 2013.
2.we want to bring to your
attention that we have our
presidential tallying centre. We are
receiving results from our agents
across the country as they are
announced at the polling centers.
The numbers we have look very
good and we urge our supporters
not to buy into the scare on tv
screens. We have not released our
in-house tallies because the captain
signed the iebc code-of-conduct
and he has urged us to be
responsible and to wait on iebc's
results. We are continuing to
monitor iebc's provisional results
and only making contact for
clarification where there are any
serious discrepancies with our in-
house tallies. We reiterate that so
far the numbers that we have are
looking very good and our
supporters should not be alarmed at
all.
3.we remind kenyans to note that
so far iebc has released only a
fraction of the total votes cast
across the country. Of importance
to note is that the percentages of
votes per county released by iebc
so far is not uniform. Different
counties have different percentages
of votes tallied so far. Statistically
therefore, the national average,
which is what tv screens are
displaying, cannot and should not
be used by our competitors or
anyone to misinform and mislead
the public that someone is
cumulatively ahead. We urge our
supporters and the public to look at
the numbers being screened on tvs
in context as well as in relation to
statistics paradoxes. As of this
morning iebc had indicated they
had provisional results from about
8000 polling centres. Across the
country we have over 31000 polling
centres.
4.we want our supporters to note
that iebc erred in beginning to
release provisional results while
voting was still going on in many
polling centres. Also the initial
provisional results that were
released to the public were those
from our competitor's strongholds.
We wish to inform the public that at
some point immediately thereafter
the iebc system went down,
affecting the streaming of live
results. In addition, our supporters
should note that just a few tallies
have been released by iebc from
our strongholds.
5.in closing, we want to say again
that our in-house tallying numbers
are looking very good and we are
poised for a big win! We ask for
calmness as iebc continues to
release the results. Always bear in
mind that the numbers coming in
are not uniform across the counties
and therefore the average
percentage cannot and should not
be used as a national average. The
results in so far are provisional. In
fullness of time, we are headed for
a big win.
For any further information please
contact the undersigned.
Signed:
George nyongesa |ceo, the friends
of raila | tel: +254 720 451 235 /
733 827 859 |email:
grnyongesa@yahoo.com
cc: Hon. Kalonzo musyoka
hon. Anyang nyong'o
hon. Franklin bett
mr. Eliud owallo

thanks very much for a such good message
 
Hio mijitu kama so called "Friends of Raila" ndio inayoharibu amani!!

What irresponsible remarks!
 
mkuu uko sawa, hebu angalia hapa:
13:32 Mr Kenyatta 2,524,241 (54pc) against Mr Odinga 1,931,012 (41pc).

13:19 IEBC provisional results: Mr Kenyatta 2,495,800, Mr Odinga 1,896,174. 12,254 of 31,981 polling stations have reported.


source

Sure mkuu so far mambo yameanza kushuka taratibu kutoka 6xxx to 5xxx, yaani hata nusu ya stations bado. So watu washishabikie hata kidogo mambo bado kabisa mabichi. Wasubiri kipenga cha mwisho tu.
 
Kura zilizo hesabiwa ni chini ya 26% ya kura zote kwa mtu makini,aliyesoma vizuri hesabu ya darasa la tano na mwenye busara ya kawaida tu si rahisi kusema fulani anaelekea kushinda wakati aanayeongoza ana 54.78% akifuatiwa na mwenye 40.71% katika hizo 26% ya kura zilizo hesabiwa .Pia mi nadhani ni kazi ya Tume ya uchaguzi Kenya kutangaza mshindi.Tuambiane idadi ya kura, kutangaza mshindi kenya tuiachie tume ya uchaguzi Kenya.

Ndugu yangu, wengine wamesoma lakini hawajaelimika. Ni ajabu kweli mtu anajua kuwa wapiga kura watarajiwa ni milioni 14 na matokeo yana jumla ya kula milioni 5, halafu anaanza kushupaa ati fulani anashinda.
 
kenyatta.jpg
[h=3]UHURU KENYATTA[/h]JUBILEE2,459,133 votes
50%
54.9%
counties > 25%
= 2 counties
32



odinga.jpg
[h=3]RAILA ODINGA[/h]CORD1,823,384 votes
50%
40.7%
counties > 25%
= 2 counties
29



mudavadi.jpg
[h=3]MUSALIA MUDAVADI[/h]AMANI122,152 votes
50%
2.7%
counties > 25%
 
JF

click hapa kupata update ya matokeo ya Kenya


http://elections2013.nationmedia.com/president.html

Acha uongo, kama umemsikiliza mwenyekiti wa tume kwa umakini hizo kura zilizoharibika zitaingizwa kwenye equation sasa kama unajua hesabu what will be the impact in percentage wise? bado naona dalili za round ya pili hapo, maana hata nusu ya kura zilizopigwa hazijaripotiwa. Warm up for the 2nd round which is the possibility.
 
Habari wa kubwa!
matokeo ya uchaguzi wa Kenya nan anaongoza had sasa?
 
mtazamo wangu utakuwa na uharisia namuhitaji kenyata ndio chaguo la mungu mungu huchagua vijana watumike.sipendi viongozi wazee.mf.mugabe.satta,slaa,odinga,belskon.shein.museven.odinga
miaka 51 kijana ?
 
Watu walibishana sana, mpaka nikamua kwenda Kenya ili niutafute ukweli, nikaupata Rutashubanyuma naye alielezea kwa kina zaidi with concreate details, but yet, watu walidiwa na mapenzi/mahaba na hivyo ku cloud uwezo wao kiakili in reasoning.Nikaeleza kuwa hakuna namna YOYOTE ile anayoweza kuitumia Raila kushinda Uchaguzi huu, watu wakabisha. Speech ya OBAMA ikammaliza kabisa.Uhuru is the next Kenyan President, whether you want it or not.
Wewe subiri kura za kambi ya Odinga...
 
Last edited by a moderator:
Sure mkuu so far mambo yameanza kushuka taratibu kutoka 6xxx to 5xxx, yaani hata nusu ya stations bado. So watu washishabikie hata kidogo mambo bado kabisa mabichi. Wasubiri kipenga cha mwisho tu.
Halafu waangalia siasa za kenya then waangalie kura nyingi zilizo hesabiwa zinatoka wapi...
 
mtazamo wangu utakuwa na uharisia namuhitaji kenyata ndio chaguo la mungu mungu huchagua vijana watumike.sipendi viongozi wazee.mf.mugabe.satta,slaa,odinga,belskon.shein.museven.odinga
Mawazo mgando kama yako yanaangamiza mataifa mengi katika maendeleo.

Uadilifu wa kiongozi haupimwi kwa umri wala kabila.



Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Registered Voter ni 14m walisema turn up ilikuwa 75% kwa hiyo jumla ya kura zilizopigwa ni 10.5m. Bado sana kumpata mshindi ingawa speed ya Odinga kumkamata Uhuru inaonekana kuwa ndogo. Gap linaongezeka badala ya kupungua.
 
discussion ya ujana na uzee itafutieni thread yake, hapa tujadili kilichoko mezani, uchaguzi wa kenya na matokeo yanayotangazwa
 
Back
Top Bottom