Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo namba walipofika ikifika kura zinasimama yani kwa software na hardware vipi wajamani mbona kura hazisongi mbele?
hoja yako ina mashiko, na dakika chache zilizopita wametoka Serena kusema kuwa wanaweza kwenda mahakamani!Hiyo namba walipofika ikifika kura zinasimama yani kwa software na hardware vipi wajamani mbona kura hazisongi mbele?
Hiyo namba walipofika ikifika kura zinasimama yani kwa software na hardware vipi wajamani mbona kura hazisongi mbele?
Hiyo namba walipofika ikifika kura zinasimama yani kwa software na hardware vipi wajamani mbona kura hazisongi mbele?
[FONT=trebuchet
ms]hoja yako ina mashiko, na dakika chache zilizopita
wametoka Serena kusema kuwa wanaweza
kwenda mahakamani![/FONT]
Mkuu bado majimbo 182 na CORD tayari wanalalamika wameibiwa. Ajabu
Tiba
Hadi sasa sijaona tofauti na matokeo waliyosema yamechakachuliwaMbona Kenyan ameacha kuleta update? Kwa sasa kura kutoka majimbo ya uchaguzi 109 bado zinamuweka Uhuru mbele;
Uhuru - 2,543,652
Raila - 1,992,075
Kuna tofauti ya kura zaidi ya 500,000.
Tiba