KennedyMmari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 979
- 187
nilitaka uhuru ashinde na atashinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoma bado mbichi
Tatizo hayo matokeo mpaka sasa bado hayaonyeshi ushindi Kwa Uhuru. Mpaka sasa ana asilimia 49.9 ambazo hazimwezeshi kumpa ushindi wa moja kwa moja!!! Kama hakutakuwa na mabadriko makubwa, basi second round haiepukiki!!!!
Tiba
Dida amevuta balaa sahizi ni wa tano anamkaba koo Keneth sasa.
Bado kuna tatizo la issue ya Percentage. Kwa mfano Daily Nation walikuwa wakionyesha banner ya idadi ya kura na percentage lakini wameondoa!
Kuna pia hot discussion kuhusu hilo kwenye Blogs/site za Kenya, wasikie:
1. Sasa DN, what happened to that banner chart that showed the percentage of votes garnered by the candidates?
On another note, we really miss the professor of mathematics, counting is hard!
2. Let them also tell us the total number of votes cast. Some of us are stealing our employer's time browsing and we don't have the time to do all those calculations.
3. That banner was flawed! You mean none of you noticed that? Or somehow it consoled you huh? DN had their own definition of "total votes cast" and continued to show percentages that were based on wrong base figures. What surprised me is that they did that for so long, which to me is very irresponsible of such a media house. You know the consequences, don't you DN?
4. Don't be lazy. Work it out. The target is 5.7m votes. Whoever hits that number carries the day.
5. Alfotula, that wont work Unless number 1 beats number two by about 800,000 votes. If the gap of 500,000 votes remains; then If Uhuru gets 5.7m and Raila 5.2m, Uhurus % will be 5.7/(5.7+5.2)X100 =52.2%. Remember this assumes that the race is only btw Raila and Uhuru. However, Mudavadi already has about 4% of the votes. So it is practically impossible for any to hit 50%. Figures dont lie bro.
mia toa tano za wengine toa moja mbovu toa arobain na 3 na point kadhaa za raila zinabakia kati ya 50 na 52 za uhuru, uhuru anapita ww
Bado kuna tatizo la issue ya Percentage. Kwa mfano Daily Nation walikuwa wakionyesha banner ya idadi ya kura na percentage lakini wameondoa!
Kuna pia hot discussion kuhusu hilo kwenye Blogs/site za Kenya, wasikie:
1. Sasa DN, what happened to that banner chart that showed the percentage of votes garnered by the candidates?
On another note, we really miss the professor of mathematics, counting is hard!
2. Let them also tell us the total number of votes cast. Some of us are stealing our employer's time browsing and we don't have the time to do all those calculations.
3. That banner was flawed! You mean none of you noticed that? Or somehow it consoled you huh? DN had their own definition of "total votes cast" and continued to show percentages that were based on wrong base figures. What surprised me is that they did that for so long, which to me is very irresponsible of such a media house. You know the consequences, don't you DN?
4. Don't be lazy. Work it out. The target is 5.7m votes. Whoever hits that number carries the day.
5. Alfotula, that wont work Unless number 1 beats number two by about 800,000 votes. If the gap of 500,000 votes remains; then If Uhuru gets 5.7m and Raila 5.2m, Uhurus % will be 5.7/(5.7+5.2)X100 =52.2%. Remember this assumes that the race is only btw Raila and Uhuru. However, Mudavadi already has about 4% of the votes. So it is practically impossible for any to hit 50%. Figures dont lie bro.
Kabebwa na ccm mafisadi hivyo ni lazima ashinde. Unajua mafisadi wanalindana kote duniani, na hata kinanatembo hatoki huko mpaka Uhuru atangazwa.
Mkuu zikiongezeka hizo na kwenye Total cast na yenyewe inaongezeka hivyo itataka kura zaidi ziongezeke kwa mshindi, kifupi inabidi gap liwazidi wale jamaa wengine pamoja na rejected votes.07:50pm:
Uhuru Kenyatta - TNA: 5,453,347 [49.93%]
Raila Odinga - ODM: 4,732,029 [43.33%]
Total CAST 10,922,143
Kama total cast ni 10,922,143 basi anahitaji (10,922,143/2) + 1 ambayo ni = approximately kura 5,461,072
wapendwa kwa mujibu wa k24 tv ambayo naiona live sasa, muda wowote uhuru atatangazwa. kwa sasa amepata kura 5,436,371. odinga ana 4,724,998. ukumbi umeshaandaliwa naviti watakavyokaa watu wake. ni kama hawataki kusema rasmi, wanaachia TUME YA UCHAGUZI, MWENYE UFAHAMU INAONEKANA UHURU KASHINDA. NITAWAPA MATOKEO YAKITOKA
Hao marafiki wa Raila hizo walizojumlisha na kuona Raila kashinda walizitoa wapi au zilikuwa ni propaganda tu.
Mkuu zikiongezeka hizo na kwenye Total cast na yenyewe inaongezeka hivyo itataka kura zaidi ziongezeke kwa mshindi, kifupi inabidi gap liwazidi wale jamaa wengine pamoja na rejected votes.
Lakini me naona Odinga jembe.