Marco Van Basten amponda Messi na kudai ni mchezaji wa kawaida sana

Marco Van Basten amponda Messi na kudai ni mchezaji wa kawaida sana

Aliyekuwa mshambuliaji hatari wa timu ya Uholanzi Marco Van Basten amesema Lionel Messi ni mchezaji wa kawaida sana na wala sio mpambanaji kabisa.

Amewataja wachezaji kama Pele, Maradona na Johan Cruyff kama magwiji kamili wa kabumbu duniani.

Van Basten pia amewataja wachezaji wengine kama Michel Platini, Zinedine Zidane na Cristiano Ronaldo kama wanasoka mahiri duniani.

=========

PSG: You're not among three greatest players in history - Van Basten slams Messi​

Dutch legend, Marco van Basten, has hit out at Paris Saint-Germain forward Lionel Messi’s personality, insisting that the Argentina captain is not among the three greatest players in history.

Van Basten believes Messi is not a warrior, adding that the likes of Pele, late Diego Maradona and Johan Cruyff are ahead of the seven-time Ballon d’Or winner.

According to him, the former Barcelona captain is not the one who puts himself at the front to go to war.

“Pele, [Diego] Maradona and [Johan] Cruyff are for me the three greatest players in history,” Van Basten told France Football.

“As a kid, I wanted to be like Cruyff. He was my friend. I miss him. Pele and Maradona were also incredible.

“Messi is also a great player, but Maradona always had more personality in a team. Messi is not the one who puts himself at the front to go to war.”

Van Basten also revealed other players who also deserve to be among the best.

“I’m not forgetting Cristiano Ronaldo, [Michel] Platini or [Zinedine] Zidane,” he added.

Daily Post
FB_IMG_1671532870543.jpg
 
Aliyekuwa mshambuliaji hatari wa timu ya Uholanzi Marco Van Basten amesema Lionel Messi ni mchezaji wa kawaida sana na wala sio mpambanaji kabisa.

Amewataja wachezaji kama Pele, Maradona na Johan Cruyff kama magwiji kamili wa kabumbu duniani.

Van Basten pia amewataja wachezaji wengine kama Michel Platini, Zinedine Zidane na Cristiano Ronaldo kama wanasoka mahiri duniani.

=========

PSG: You're not among three greatest players in history - Van Basten slams Messi​

Dutch legend, Marco van Basten, has hit out at Paris Saint-Germain forward Lionel Messi’s personality, insisting that the Argentina captain is not among the three greatest players in history.

Van Basten believes Messi is not a warrior, adding that the likes of Pele, late Diego Maradona and Johan Cruyff are ahead of the seven-time Ballon d’Or winner.

According to him, the former Barcelona captain is not the one who puts himself at the front to go to war.

“Pele, [Diego] Maradona and [Johan] Cruyff are for me the three greatest players in history,” Van Basten told France Football.

“As a kid, I wanted to be like Cruyff. He was my friend. I miss him. Pele and Maradona were also incredible.

“Messi is also a great player, but Maradona always had more personality in a team. Messi is not the one who puts himself at the front to go to war.”

Van Basten also revealed other players who also deserve to be among the best.

“I’m not forgetting Cristiano Ronaldo, [Michel] Platini or [Zinedine] Zidane,” he added.

Daily Post
No problem ni haki yake na uhuru wake wa maoni. noted
 
Unazungumzia ile miaka hata mpira hauna sheria?

Pele kutokucheza soka ulaya ndio kumemfanya messi awe mchezaji bora toka dunia iumbwe
HAKUNA KOMBE LENYE HESHIMA KAMA kOMBE LA DUNIA YEYE AMESHINDA MARA3 AKIFUNGA MAGOLI 3 KWENYE FAINAL MBILI TOFAUTI NA KATIKA HAYO MAGOLI HAKUNA PENALTI.

NB.PELE BEST FOOTBALLER EVER AND MESSI MOST OVARRATED FOOTBALLER EVER EVER EVER EVER.
 
Unazungumzia ile miaka hata mpira hauna sheria?

Pele kutokucheza soka ulaya ndio kumemfanya messi awe mchezaji bora toka dunia iumbwe
Kucheza ulaya ndio upuuzi gani angalia alipokutana na timu za huko ulaya kwenye WORLD CUP au INTERCONTINENTAL CUP(kwa sasa fifa club world cup) alizifanya nini hizo timu za ulaya?

Rekodi za messi zote zinaweza kufikiwa lakini hakuna kiumbe anaeweza kufikia rekodi ya kutwaa WC mara tatu hii ni kwa ajili ya mfalme tu "EDSON ARANTES DO NASCIMENTO (PELE).
 
Messi ni Magician..., LAKINI
Messi sio warrior
(Captain Fantastic, when the going gets rough Messi sio Vocal kwahio hawezi kuwabeba wenzake hususan akiwa na off day kuliko wengine wanaweza wakawavuta by the shirt sleeves)..

Messi sio Grafter: Walks a lot na sio mtu wa ku-track back either build a team around Messi au atakuwa mzigo kwa timu

Pele is Untouchable mpaka Sasa: There is Pele then there are others..., huwezi kumlinganisha Messi na Pele kwa lipi hasa ?!!! Complete player No !! Tukisema kwa Chenga kuna kina Garrincha wachawi wa Chenga...

There you have it..., My two Cents (I can back it up by stats if you want)

 
Unazungumzia ile miaka hata mpira hauna sheria?

Pele kutokucheza soka ulaya ndio kumemfanya messi awe mchezaji bora toka dunia iumbwe
Unasema !!!!!!

Unajua Sheria za Fifa ?, Kipindi kile Striker hapewi kipaumbele kama leo 1966 Pele alipigwa kiatu yaani unaanguka alafu mtu anakukanyaga na refa hafanyi kitu..., unadhani striker kama Messi na chenga nyingi angecheza mechi kama leo ? au robo tatu angekuwa anauguza maumivu....

Msipende kuongea vitu bila back-up yoyote, kipindi kile mtu mwenye umbo dogo kama Messi angepata shida sana..., watu wangemgeuza target ya viwiko vyao...
 
Watu wasiompenda Messi wametafuta vichaka vingi sana vya kujificha, kote hapawasaidii. Walijaribu kwa mshkaji wao Ronaldo, wakagundua kichaka ni kifupi. Wakajaribu kwa Mbappe, wakakuta kichaka ni kidogo mno. Wamerudi kwenye kichaka cha pele, na chenyewe hakitawasaidia!


Kwanza kabisa, kuwalinganisha wachezaji kwa kuangalia wameshinda world cup ngapi, ni kuonyesha kiwango kidogo cha uelewa. World cup sio individual trophy, ni kitu kinapatikana kwa efforts za team nzima. Ndio maana Olivier Giroud anayo, ila Cristiano Ronaldo hana!

Lakini pia kuanzia mechi za makundi, mpaka fainali ya world cup, ni mechi saba pekee. Ni uongo kupima ubora wa mchezaji kwa mechi saba pekee. Ndio maana kuna wachezaji wengi huwa wanaonekana kung'ara kipindi cha world cup, na kisha wanapotea. Unamkumbuka Diego Forlan? Unamfahamu golikipa wa kuitwa Ochoa? Hao ni baadhi ya waliong'ara kwenye kombe la dunia pekee, na sababu ni uchache wa mechi. Only seven matches from group stage, to the final!

Ubora wa mchezaji, tutaupima kwa kuangalia performance yake ya kila siku. Pale England, majitu yanacheza mechi kama 30 kwa msimu za EPL pekee. Yanakutana kwenye Carrabao cup, FA cup, Champions League na wengine Europa League. Hiyo ni zaidi ya mechi 40 kwa msimu. Na hiyo ni kwa ligi zote kubwa ulaya, England, Spain, France, Germany na kwingineko. Hapo tunapata kweli kuuona ubora wa mchezaji, sababu sio rahisi kua na consistency kwenye mechi zaidi ya 30 ndani ya msimu mmoja.

Leonel Messi na Cristiano Ronaldo wamethibitisha ubora wao kwa kufanya mambo makubwa kwa miaka zaidi ya kumi sasa kwenye hizi ligi. Wamefunga kila aina ya magoli, wamevunja na kuweka kila aina ya rekodi. Hakuna unachoweza kuwadai wao kama individual players. Kutuambia eti hawamfikii Pele kwakua Pele ameshinda world cups nyingi, ni kutuongopea. Pele hakushinda world cup peke yake, zilikua juhudi za team nzima ya Brazil aliyokuwemo!

Hata juzi, Emiliano Martinez alifanya save dakika ya mwisho kabisa ambayo ndiyo iliyowanyima France ubingwa. Sio sahihi kumpa sifa Messi pekee, zilikua juhudi za team nzima. Ndio maana hata Pele hatakiwi kubeba sifa za kushinda world cup peke yake, zilikua juhudi za wengi.

Mwisho wa siku, mchezaji bora anaamuliwa na individual performance. Umefunga magoli mangapi, umetoa assists ngapi, umechangia nini kwenye performance ya team? Hapo ndipo tunaporudi kuangalia takwimu za mchezaji kwa nafasi anayocheza. Na hapo ndipo Messi na Ronaldo wanasimama juu ya hao giants, Pele na Maradona.


Mimi binafsi, Ronaldinho Gaucho ndio mchezaji ninaemkubali kuliko wote. Namuona kama the most complete football player ever. Lakini tukiweka individual records zake mezani, hatoboi kwa Ronaldo na Messi.

Tutaenda mbele, tutarudi nyuma. Tuliweka kipimo cha mchezaji bora duniani kikaitwa Balon d'Or. Siku akitokea mchezaji akawa nazo nyingi kumzidi Messi, basi yeye ndie atakua bora. Ila kwa sasa, hicho ni cheo cha Leonel Andres Messi Cuccittini pekee!

Kama unapinga, leta individual records za mchezaji wako tulinganishe. Usiniambie kuhusu makombe, hayo ni matokeo ya juhudi za team nzima. Tuletee individual records!


NB: Dani Alves ndie the most decorated football player of all time. Ameshinda makombe mengi kuliko mchezaji yeyote aliepata kutokea. But we don't consider him as the G.O.A.T.
 
Ni wivu wake tu unamsumbua.
Sote tunajua toka kuwepo kwa mchezo wa soka ulimwenguni hajawahi kutokea kiumbe aliyeweza kufikia kiwango cha mafanikio ya Messi.

Angalia hichi kitu, halafu tafuta wa kumfananisha na Messi kwenye Soka.
1. Kanyanyua World Cup
2. Kanyanyua Copa America
3. Kanyanyua Olimpic
4. Kanyanyua UEFA champion legue (Mara nne)
5. Ana Ballon d'Or (Mara Saba)
6. Kanyanyua ubingwa wa Laliga (Mara kumi)
7. Kanyanyua ubingwa wa ligi ya Ufaransa (Mara moja)
1. MISS PENATI kalazimishwa kubeba world cup ya mbeleko FC/Argentina baada ya kuwa BEBWA BEBWA kwa kuvunja rekodi ya penati 7 mfululizo kati ya mechi 7 tangu kuumbwa kwa kombe la dunia.

5. Balloon D'O 5 ndizo halali yake ila 2 zote alilalamikiwa sababu alichukua tuzo za Iniesta na Lewandosky 2010 & 2020.

3. Hakuna mchezaji bora wa dunia aliyewahi kulalamikiwa kubebwa bebwa zaidi ya MISS PENATI, fikiri kwa kutumia ubongo (akili) wala si moyo (mahaba).

4. Taasisi za kibiashara kama ADIDAS zina kila aina ya wadau (wazuri na wabaya) kama wachezaji kamari wakubwa ni rahisi kutumia figisu zozote ili zifaidike kiuchumi zaidi, ndiyomaana unaona kila kukicha MISS PENATI na Argentina vimelalamikiwa sana na kupoteza ladha halisi ya kombe la dunia 2022 tofauti na makombe ya dunia yaliyopita miaka ya nyuma.
JamiiForums1024691057.jpg
JamiiForums-1394873182.jpg
JamiiForums-201325086.jpg
Screenshot_2022-12-20-21-19-42-12_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom