Marco Van Basten amponda Messi na kudai ni mchezaji wa kawaida sana

Marco Van Basten amponda Messi na kudai ni mchezaji wa kawaida sana

Messi wa sasa hamfikii Mbappe wa sasa ila ni vigumu kupima mtu katika peak yake wakati mwingine anazeeka.... (Na mpira ulivyo rahisi kwa striker sasa hivi kuliko hapo awali tegemea Mbappe kuvunja rekodi zaidi

Messi ni wa pili kwa kuongoza kwa kucheza World Cup na amefika fainali zaidi ya moja as a captain ni kwamba alishindwa kuwavusha wenzake ndio maana nikasema Messi sio Grafter ni vigumu kumtegemea awaongoze at the peak tofauti na watu kama kina Roy Keane, Anelka, Gattuso ambao ni vocal, mambo yakienda mrama ana-bottle it (ndio maana muache afanye magician yake lakini usimpe ukiongozi) kwahio many a times he has been found wanting (sio world cup tu bali hata Copa America)

Kuna watu wameshinda world cup by their individual brilliance Maradona 1986 na Pele 1958 and they were by far the best players

Ukiwa Messi au Ronaldo timu inabidi ijengwe kwa kukuzunguka wewe, to get the best out of you hapo unapewa / unapata advantage hata kocha anakwambia ukipata mpira mpe fulani..., ndio hapo linakuja suala pia la mpira wa sasa wachezaji stars wanalindwa na marefa zamani kina Ronaldo na Messi hizo mechi 30 wasingemaliza baadhi wangekuwa wanauguza majeraha

Kwahio Argentina kina De Maria ambao mpaka wanakaa Benchi wote ni maboya ? Huyo Kipa Je aliyewafanya wachukue Kombe ? Hivi unajua kina Juan Liquelme wote ni from Argentina ? Kina Saviolla na Teves Pia ? Katafute Historia ya World Cup 1958 uone kijana wa miaka kumi na saba baada ya kukaa bench mechi za mwanzo alivyoingia na kufanya Brazil washinde Kombe tafuta uone jinsi 1966 alivyokuwa target England na kumfanya awe majerui na kushindwa kucheza alafu tafuta uone 1976 mambo aliyofanya..., Yaani ukiwa mdogo ukafanya makubwa na mbele ya ma-star wengine na sio vidampo na bado wakakupa Heshima gundua unayofanya sio ya kawaida

Kuna kushinda Kombe ukiwa bora kama wengine au arguably better kuliko wengine kuna kushinda kombe ukiwa man of the match (kwangu mimi yule kipa ndio man of the match sababu ingekuwa ni other story kwa Messi so close but no cigars)

Kwahio kipa hawezi kuwa mchezaji bora ? What about midfilder au watu kama Maestro Andre Pirlo?
Na unamaanisha nini kwamba Ronaldo na Messi wanamzidi Pele na Maradona kwenye assists na goals ? sikuelewi mkuu Hivi unajua Maradona aliweza kufanya Timu ya kawaida kushinda Kombe la Italy Single Handed ?

Na hizo takwimu unazichukua vipi (kipindi hiki ambacho mpira ni kama Golf ukiguswa refa anazuia na wakati ule mpira ni physical ) Hivi unajua hata rekodi ya Eusebio ya Portugal ya magoli Ronaldo haijaivunja ? au unadhani walimjengea Sanamu kule Portugal na kumuita the Black Panther kwa kumuonea Huruma sababu anatoka Msumbuji ?

Ni prelogative yako kumkubali hata Peter Crouch.... na Ronaldinho anazo hizi magic moments kama vile ambavyo Messi anazo (Ingawa trick yake moja Okocha anasema alimuibia) tukienda mbali zaidi hata kina Zidanne, Figo n.k. wana something Unique ila kwa historia ya hivi karibuni hata kabla hatujafika mbali huwezi ukamtaja Ronaldinho ukamuacha The Real Ronaldo de Lima.., pia complete player unamtafsiri vipi ?

Unajua Balon d'Or ni nini na inapatwa vipi
Conceived by sports writers Gabriel Hanot and Jacques Ferran, the Ballon d'Or award honours the male player deemed to have performed the best over the previous year, based on voting by football journalists, from 1956 to 2006.[2] Originally, it was awarded only to players from Europe and widely known as the European Footballer of the Year award. In 1995, the Ballon d'Or was expanded to include all players from any origin that have been active at European clubs.

Haya niambie Pele angewezaje kushinda hio hata mara moja, hata Eusebio mwenyewe hakushinda sababu ya rangi yake hadi Geoge Weah kuja kuwa mwafrika wa kwanza kushinda....

Rudi kwa Pele linganisha mwenyewe (mtoto ambaye alifanywa ni nyara ya serikali ili timu za ulaya sisimchukue)..., alafu kaangalie huko kwenye Club yake Brazil amekuwa decorated kiasi gani..., by the way Nigeria walisimamisha vita kupigana ili wakamwangalie Pele...

Unaangalia vitu kwa mafungu inabidi uangalie kwa ujumla Messi second player with most world cup appearances lakini uki-equate na his achievement he comes short by far kwa wengine wote kina De Lima, Pele, Mbappe n.k. now how do you say about that ? Narudia tena kuna Pele alafu na wengine wengi na watakuja wengine wengi zaidi but there will only be one Pele...
We Jamaa unalipwa nini na huyo Mahaba niuwe wa MISS PENATI, maana si kwa kumpatia madini mazito kiasi hiki [emoji848]

Ingawa huwa naamini mwenye mahaba huwa kipofu wa kupokea ukweli sababu ya kuongozwa na hisia (moyo) badala ya akili (ubongo)...[emoji1]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
We Jamaa unalipwa nini na huyo Mahaba niuwe wa MISS PENATI, maana si kwa kumpatia madini mazito kiasi hiki [emoji848]

Ingawa huwa naamini mwenye mahaba huwa kipofu wa kupokea ukweli sababu ya kuongozwa na hisia (moyo) badala ya akili (ubongo)...[emoji1]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mkuu hata kusoma unajua ?

Rudia Kusoma nilichoandika alafu urudi tena hapa tuendelee kuongea hapo nimeongelea logics na facts tupu wala sijasema Messi Greatest of All Time (hapana far from it) ninampa credit ni good player tumemaliza as for the legend in Football there is just one guy....
 
Ukweli mtupu, chawa na zombies wa Miss Penalty mwageni povu
 
Ni wivu wake tu unamsumbua.
Sote tunajua toka kuwepo kwa mchezo wa soka ulimwenguni hajawahi kutokea kiumbe aliyeweza kufikia kiwango cha mafanikio ya Messi.

Angalia hichi kitu, halafu tafuta wa kumfananisha na Messi kwenye Soka.
1. Kanyanyua World Cup
2. Kanyanyua Copa America
3. Kanyanyua Olimpic
4. Kanyanyua UEFA champion legue (Mara nne)
5. Ana Ballon d'Or (Mara Saba)
6. Kanyanyua ubingwa wa Laliga (Mara kumi)
7. Kanyanyua ubingwa wa ligi ya Ufaransa (Mara moja)

Umesahau CONMEBOL-uefa cup of Champions ⌛
 
Mkuu hata kusoma unajua ?

Rudia Kusoma nilichoandika alafu urudi tena hapa tuendelee kuongea hapo nimeongelea logics na facts tupu wala sijasema Messi Greatest of All Time (hapana far from it) ninampa credit ni good player tumemaliza as for the legend in Football there is just one guy....

Best player everrr
 
Aliyekuwa mshambuliaji hatari wa timu ya Uholanzi Marco Van Basten amesema Lionel Messi ni mchezaji wa kawaida sana na wala sio mpambanaji kabisa.

Amewataja wachezaji kama Pele, Maradona na Johan Cruyff kama magwiji kamili wa kabumbu duniani.

Van Basten pia amewataja wachezaji wengine kama Michel Platini, Zinedine Zidane na Cristiano Ronaldo kama wanasoka mahiri duniani.

=========

PSG: You're not among three greatest players in history - Van Basten slams Messi​

Dutch legend, Marco van Basten, has hit out at Paris Saint-Germain forward Lionel Messi’s personality, insisting that the Argentina captain is not among the three greatest players in history.

Van Basten believes Messi is not a warrior, adding that the likes of Pele, late Diego Maradona and Johan Cruyff are ahead of the seven-time Ballon d’Or winner.

According to him, the former Barcelona captain is not the one who puts himself at the front to go to war.

“Pele, [Diego] Maradona and [Johan] Cruyff are for me the three greatest players in history,” Van Basten told France Football.

“As a kid, I wanted to be like Cruyff. He was my friend. I miss him. Pele and Maradona were also incredible.

“Messi is also a great player, but Maradona always had more personality in a team. Messi is not the one who puts himself at the front to go to war.”

Van Basten also revealed other players who also deserve to be among the best.

“I’m not forgetting Cristiano Ronaldo, [Michel] Platini or [Zinedine] Zidane,” he added.

Daily Post
Uzuri mmebaki na midomo kombe kabeba Messi.

Haya Ronaldo akafie mbali na timu ya taifa anapigwa benchi
 
CR 7 anamzidi vingi sana MISS PENATI,

1. Rekodi ya kufunga perfect hat trick

2. Rekodi ya kupiga magoli manne manne kwa sana

3. Rekodi ya kupiga tikitaka kwa umbali juu zaidi hewani (Real Madrid)

4. Rekodi ya kufunga goli la kichwa umbali wa juu zaidi akiganda hewani kwa zaidi ya sekunde 5 (Juventus).

5. Rekodi ya kufunga magoli magumu kwa uwezo binafsi kulingana na mifumo ya timu alizochezea (mashuti ya mbali sana) si kama Barcelona hata asiyejua mpira anatengewa na kufunga goli.

6. Rekodi ya kucheza kwenye ligi tofauti kwa nchi zaidi ya 4 kuliko MISS PENATI aliyezeekea kwenye klabu 2 tu.

7. Rekodi ya kufunga magoli mengi kwenye UEFA CHAMPIONS LEAGUE.

8. Rekodi ya kufunga magoli mengi kwenye timu za Taifa.

9.....Endeleza mwenyewe ziko nyingi sana Chifu [emoji13]

Kwa taarifa yako tu hata 2018 angalia vizuri vigezo vya takwimu kwa ubora kati ya CR 7 na Modric utagundua FIFA ilimnyima CR 7 tokana na figisu za Rais wa Real Madrid "Florentino Peres" alipomtaka CR 7 aendelee kubaki Real Madrid ilihali CR 7 aliondoka kimabavu/bila ya makubaliano ya amani.


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app

Messi ana classic goals against Ronaldo,
Messi kacheza match chache kuliko Ronaldo

Messi ana Worldcup Ronaldo hana
 
Unazungumzia ile miaka hata mpira hauna sheria?

Pele kutokucheza soka ulaya ndio kumemfanya messi awe mchezaji bora toka dunia iumbwe
Zamani Mpira ulikuwa America Kusini .....ndio miaka mpaka wakina Uruguay wanafululiza kucheza fina mwenzake Brazil.....

Sasa Pele aende Ulaya kufanyaje wakati mafundi wote wapo kwenye Bara lao.?.
 
Unasema !!!!!!

Unajua Sheria za Fifa ?, Kipindi kile Striker hapewi kipaumbele kama leo 1966 Pele alipigwa kiatu yaani unaanguka alafu mtu anakukanyaga na refa hafanyi kitu..., unadhani striker kama Messi na chenga nyingi angecheza mechi kama leo ? au robo tatu angekuwa anauguza maumivu....

Msipende kuongea vitu bila back-up yoyote, kipindi kile mtu mwenye umbo dogo kama Messi angepata shida sana..., watu wangemgeuza target ya viwiko vyao...
"Mtu mwenye umbo dogo angepata shida sana" yet the late Diego Armando Maradona aliweza kucheza na kusumbua hata huo utawala wa Pele.
Hivi kwani hao wachezaji wafupi hawakuwepo back then?
Mbona Pele sasa kama mnamzidishia sifa?
 
"Mtu mwenye umbo dogo angepata shida sana" yet the late Diego Armando Maradona aliweza kucheza na kusumbua hata huo utawala wa Pele.
Maradona alicheza na Pele ? Kupata shida ni kushindwa kucheza ? Hivi unajua Maradona ni mara ngapi alikuwa akicheza huku amepigwa maganzi ? Hujiulizi kwanini huenda Messi ameweza kucheza mechi nyingi zaidi kuliko hao kina Maradona ?
Hivi kwani hao wachezaji wafupi hawakuwepo back then?
Mbona Pele sasa kama mnamzidishia sifa?
Garrincha mwenyewe mchawi wa chenga alikuwa urefu sawa na Messi ila ndio hivyo huenda Garrincha angecheza leo angekuwa even better kutokana na urahisi wa kufanya mambo huku Refa anakulinda....

Sifa za Pele tazidisha vipi ?, niambie ni kipi Messi anamzidi Pele alimzidi Pele ili twende sambamba just pick one tufanye dissection...
 
Alafu mleta post unatuletea mambo ya msimu wa 2021/2022, Van Basten alisema mwaka 2022 June, kipindi ambacho Messi alistruggle msimu wake wa kwanza akiwa PSG.
MLETA MADA UNAONEKANA NI SHABIKI WA CR7 NA HUFATILII, YAANI NA WASIWASI NA UWEZO WAKO WA KIFIKRA.
Maneno yanaishi, hata kama aliyasema miaka 10 ilopita kama hajayakanusha yanabaki kuwa ndio msimamo wake.
 
"Mtu mwenye umbo dogo angepata shida sana" yet the late Diego Armando Maradona aliweza kucheza na kusumbua hata huo utawala wa Pele.
Hivi kwani hao wachezaji wafupi hawakuwepo back then?
Mbona Pele sasa kama mnamzidishia sifa?

Hapa nachokiona ni ushabiki na sio uhalisia wenyewe😃 mashabiki wa ronaldo wamehamia kwa pele tena 😃 sasa pele wakumlinganisha na king Messi kweli! Huyu huyu pele ambae hakuwahi kucheza ulaya! Amecheza hukoo kijijini santos na USA😃 Kweli huyu ndio wakumlinganisha na mtu ambae ana makombe yote na individual performances!

Kwanza hakuna aliemshuhudia Pele humuu JamiiForums... sasa sijui wanapata wapi ujasiri wa kumlinganisha na king messi.. pele wamlinganishe na akina haaland, Lewandowski na de lima hawa ndio wa size yake japo ana World Cup.



Mkuu, hebuMuombe mafanikio ya pele na diego kama atakupa.. au akupe mafanikio ya King La purga na mafanikio ya pele... i know that hataleta na kuukimbia uzi.
 
Itoshe kusema CR7 ni tizi mpira, Messi ni kipaji kama Gaucho yaani hata wasipopiga tizi sana wao wanafanya maajabu uwanjani. Ni hayo tu!

Na itoshe kusema rekodi zinawekwa ili zivunjwe. Sasa Messi kashavunja rekodi za baba na babu zake akina Pele, Maradona na wengineo.
 
Baada ya messi kuchukua ubingwa wamehamia kwa pele, sasa pele wakumcompare na mwenye mpira wake Ka purga! Huyo pele kwa diego hafui dafu kwa Messi ndio atagusa!! Messi ni mmoja tu
 
Back
Top Bottom