lugoda12
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 276
- 574
Marcus Rashford amefunga mabao 9 katika mashindano yote tangu ilipomalizika michuano ya kombe la dunia, ambayo ni mengi zaiidi ya mchezaji mwengine yoyote kwenye zile ligi tano bora barani ulaya.
✍️Marcus Rashford pia sasa amehusika katika mabao 9 dhidi ya Arsenal, mengi kuliko kuliko aliyohusika dhidi ya timu nyengine yoyote ya premier league katika career yake.
Rashford dhidi ya Arsenal katika premier league
michezo 15
mabao 5
pasi za mabao 4
bao alilowafunga Arsenal hapo jana, lilikuwa ni bao lake la kwanza kufunga dhidi yao katika dimba la Emirates.
✍️takwimu za Marcus Rashford msimu huu hadi sasa kwenye premier league
michezo 20
dakika 1620
mabao 9
pasi za mabao 3
amehusika katika mabao 12
√ ana wastani wa kufunga bao kila baada ya dakika 180
✍️Marcus Rashford katika mashindano yake tangu alipoanza timu ya wakubwa ya Manchester United.
michezo 301
mabao 110
pasi za mabao 51.
✍️Marcus Rashford pia sasa amehusika katika mabao 9 dhidi ya Arsenal, mengi kuliko kuliko aliyohusika dhidi ya timu nyengine yoyote ya premier league katika career yake.
Rashford dhidi ya Arsenal katika premier league
michezo 15
mabao 5
pasi za mabao 4
bao alilowafunga Arsenal hapo jana, lilikuwa ni bao lake la kwanza kufunga dhidi yao katika dimba la Emirates.
✍️takwimu za Marcus Rashford msimu huu hadi sasa kwenye premier league
michezo 20
dakika 1620
mabao 9
pasi za mabao 3
amehusika katika mabao 12
√ ana wastani wa kufunga bao kila baada ya dakika 180
✍️Marcus Rashford katika mashindano yake tangu alipoanza timu ya wakubwa ya Manchester United.
michezo 301
mabao 110
pasi za mabao 51.