Marehemu amevalishwa miwani

Labda alikua na tatizo katika macho, alivimba sana, yaliharibika kwa namna fulani ndio wakaamua kumvisha miwani ili msiamanike mtakaoenda kumuaga.
 
Cheki na yule MKUSANYA RAMBIRAMBI wa Taifa. Kama humjui muulize Billnass
 
Hii inaitwa End to End Encryption wenye Decryption keys kazi kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…