Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Tulikwenda msibani, katika kuona sura ya mwisho marehemu amenyolewa ndevu vizuri na kuvushwa miwani. Hii ni mara yangu ya kwanza kuona marehemu akiwa na miwani. Kwa tunaimfahamu marehemu alivaa miwani ya macho enzi za uhai wake. Ulishawhi kuona hili?