chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Leo nimekukumbuka baada kuona wasanii wa bongo hawana tofauti wanachama wa CCM baada ya maigizo yao au kazi zao.
Japo ndio ulikuwa mwanzo mgumu ila ulitendea haki tukupe shukrani.
Huku umetuachia wajinga wengi mpaka wengine wamekuwa wanyekiti wa misiba na mbwembwe.wapo wachache wenye kutimiza ndoto zao ila ni wengi waliojaa ujinga kutokubali ukweli.
Uliwabadilisha watu kujua umuhimu wa sanaa.
Japo ndio ulikuwa mwanzo mgumu ila ulitendea haki tukupe shukrani.
Huku umetuachia wajinga wengi mpaka wengine wamekuwa wanyekiti wa misiba na mbwembwe.wapo wachache wenye kutimiza ndoto zao ila ni wengi waliojaa ujinga kutokubali ukweli.
Uliwabadilisha watu kujua umuhimu wa sanaa.