elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
- Thread starter
- #21
Imenibidi ni u download huu wimbo jana, yani bado mkali kama umetengeneza jana na ile style yake ya rthym za bass jamaa alikuwa mkali sana.Hivi Complex mpenziwe si alikuwa ni Vivian ama! au Tilya ni jina lake pia?
Roy RIP alitisha sana na G2 yake enzi hizo...yaani kina Tonya Mbili kipindi hiko walibamba sana kupitia mkono wa huyu jamaa. Kila nikisikiliza "Siamini" ya Matonya lazima inijie taswira ya huyu jamaa aise.