Marehemu Roy alikuwa anajua sana

Marehemu Roy alikuwa anajua sana

Hizi ndo ratiba zetu everyday
P, snalee na ngwair twasaka pay
Tukiwa kwenye mic ubitoz usituletee
Twakomaa na mziki ili maisha yaendelee.

Gheto langu dah nilikuwa nkisikiliza mashairi ya ngwait over naliona gheto kabisa.
Umenikumbusha east zoo, chamber squad akina noorah
Nimeikumbuka mkuu,kipindi iko Banana Zoro,Q chillar na Papii kocha wanatoa album zao uzinduzi mkubwa kama wa Ugali ya Juma nature
 
Aaah hivi calif records bado ipo. Hivi wajua sappy wa ogopa ni kijana wa mwanza
Juzi kati wanadai jamaa alikuwa anatoka na Naazizi ila walikanusha ,Sappy alipambana sana wakati yule producer mkenya alipokuwa anaisha Mwanza alifanya remix ya nako 2 nako
 
Juzi kati wanadai jamaa alikuwa anatoka na Naazizi ila walikanusha ,Sappy alipambana sana wakati yule producer mkenya alipokuwa anaisha Mwanza alifanya remix ya nako 2 nako
Prod gan mkenya huyo mkuu?
 
Q the don kama ulishawahi kumskia
Q the don, siyo kumsikia tu nilishawahi walipia vijana nikawapeleka hadi studio kwake nikawakuta akina filbert kabago wamekuja tengeneza wimbo sasa ile wanajiandaa kuingia booth wakaamua waanze pika kabisa mihogo wale.
Q sema alikuwa napenda sana pombe
 
Q the don, siyo kumsikia tu nilishawahi walipia vijana nikawapeleka hadi studio kwake nikawakuta akina filbert kabago wamekuja tengeneza wimbo sasa ile wanajiandaa kuingia booth wakaamua waanze pika kabisa mihogo wale.
Q sema alikuwa napenda sana pombe
Q the don yuko wapi now
 
Q the don, siyo kumsikia tu nilishawahi walipia vijana nikawapeleka hadi studio kwake nikawakuta akina filbert kabago wamekuja tengeneza wimbo sasa ile wanajiandaa kuingia booth wakaamua waanze pika kabisa mihogo wale.
Q sema alikuwa napenda sana pombe
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nouma sana
 
ujio wa kishindo wa diamond plutnumz.. umezifanya studio nyingi sana na wanamuziki wengi sana wakongwe kufa kibudu..

diamond ametoka ni kishindo ambacho hadi lady jaydee na juma nature wanatamani kulia


Ma producer na studio kibao zimepotea kama sound crafters, kama kawa records, fm studios, fish crab naye simskii
Kuna ngoma aliigonga lamar ya mandojo na domokaya inaitwa we nenda naikubari mpaja kesho
 
ujio wa kishindo wa diamond plutnumz.. umezifanya studio nyingi sana na wanamuziki wengi sana wakongwe kufa kibudu..

diamond ametoka ni kishindo ambacho hadi lady jaydee na juma nature wanatamani kulia
Game imechange sana kuanzia aina ya unaji studio za mziki mpaka videos.
Visual lab kapotea, nisher naye chalii, akina epidu walishawapoteza empty soulz, 2eyes, mwananchi production, benchmark production tayari
 
Back
Top Bottom