LGE2024 Marehemu wengi Katavi waandikishwa kwenye daftari la wapiga kura

LGE2024 Marehemu wengi Katavi waandikishwa kwenye daftari la wapiga kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

erasto Samwel

Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
78
Reaction score
91
Nimekutana na orodha ya wapiga kura Ktk kata nyingi za mkoa wa Katavi, ndugu wanashangaa marehemu wao ni wapiga kura. Leo sehemu nyingi wamebandua majina kuepuka aibu baada ya kuona wananchi wanazomea.

Halafu Waziri unaleta usanii kwamba wananchi wamejiandikisha wengi ili kumfurahisha Rais. Hii ni Katavi, mikoa mingine sasa.

Inaonekana majina walikuwa wanayatoa ktk ofisi za kata wanawapa waandikishaji😀
 
Nimekutana na orodha ya wapiga kura Ktk kata nyingi za mkoa wa Katavi, ndugu wanashangaa marehemu wao ni wapiga kura. Leo sehemu nyingi wamebandua majina kuepuka aibu baada ya kuona wananchi wanazomea.

Halafu Waziri unaleta usanii kwamba wananchi wamejiandikisha wengi ili kumfurahisha Rais. Hii ni Katavi, mikoa mingine sasa.

Inaonekana majina walikuwa wanayatoa ktk ofisi za kata wanawapa waandikishaji😀
Viongoazi wa CCM hawana aibu lakini pia hata uwezo wao ni mdogo wa kuwekq mambo ktk mizani. Hata walisahau kuwa namba za sensa zipo wakapika taarifa ya aibu.

Wameandaa majina feki ili siku ya kupiga kura wawe wanarudia mara mbilimbili ktk vituo tofauti, wakala wao atakuwa na simu akiwasiliana na mwenzake aliye nje maficho ya karibu akiwa na kundi la watu wanaopewa majina feki ya kwenda kupiga kura. Upo uwezekano mtu atakwenda kupiga kura akute tayari jina lake limeshapiga kura.
 
Hakika chama dola kongwe kimeishiwa hadi kwenda makaburini kuhakiki marehemu waliotangulia mbele ya haki waje wapige kura za maruhani.
 
Nimekutana na orodha ya wapiga kura Ktk kata nyingi za mkoa wa Katavi, ndugu wanashangaa marehemu wao ni wapiga kura. Leo sehemu nyingi wamebandua majina kuepuka aibu baada ya kuona wananchi wanazomea.

Halafu Waziri unaleta usanii kwamba wananchi wamejiandikisha wengi ili kumfurahisha Rais. Hii ni Katavi, mikoa mingine sasa.

Inaonekana majina walikuwa wanayatoa ktk ofisi za kata wanawapa waandikishaji😀
Umbeya tu
Majina yako wapi? Ambatanisha na vyeti vyao vya vifo kama ushahidi uweke humu jina la marehemu aliyeandikishwa na cheti chake cha kifo na alipozikwa
 
Sasa ukiona chama kinashindwa kumtofautisha kati ya Wafu na Walio hai,

Ni chama mfu hicho.
 
Inashangaza sana
Weka majina na vyeti vyao vya vifo hadharani kama majina yao yanavyowekwa hadharani na ueleze walikozikwa na uonyeshe makaburi yao

Msilete siasa za kitoto hapa..huo uchaguzi ni wa kisheria ukituhumu kuna marehemu kaandikishwa onyesha na cheti chake cha kifo na alipozikwa kaburi lake lilipo onyesha bwege wewe
 
Mkuu njaa mbaya sana na umaskini ni mbaya sana pole jamani kwa kukosa pesa ya msosi. Chukua chips nyama hizo hata kwa picha utashiba upunguze povu pasipotakiwa
GauoD7hWAAAz8Ze_1.jpg

Weka majina na vyeti vyao vya vifo hadharani kama majina yao yanavyowekwa hadharani na ueleze walikozikwa na uonyeshe makaburi yao

Msilete siasa za kitoto hapa..huo uchaguzi ni wa kisheria ukituhumu kuna marehemu kaandikishwa onyesha na cheti chake cha kifo na alipozikwa kaburi lake lilipo onyesha bwege wewe
 
Waandishi wa habari habari kama hixi ziwe zinaambatanishwa na vyeti vya vifo kama ushahidi na waonyeshe hayo makaburi walikozikwa yako wapi ? Eneo lipi wapige na picha za hayo makaburi ili kukomesha uzushi kama wa huyu mleta mada
 
Waandishi wa habari habari kama hixi ziwe zinaambatanishwa na vyeti vya vifo kama ushahidi na waonyeshe hayo makaburi walikozikwa yako wapi ? Eneo lipi wapige na picha za hayo makaburi ili kukomesha uzushi kama wa huyu mleta mada
Wewe utakuwa na shida kichwani, kwa hiyo mtu akifa mtaani kwetu tukamzika utataka tuwe na cheti kueleza kama alikufa ? Na vipi wale waombolezaji msibani wanaonyeshwa cheti hicho?.

Ok kama cheti Cha kifo ktk taarifa ni muhimu kwa ccm vipi hawakuona umuhimu wa kuwa na kitambulisho chochote ktk kuandikisha hao wapiga kura. Je hizi crips zilizo humu za rough ktk uandish na kura za maoni nazo hauziamini?

Utetezi mwingine ni wa kuepuka maana unakuacha na aibu ya ujinga ulionao.
 
Nimekutana na orodha ya wapiga kura Ktk kata nyingi za mkoa wa Katavi, ndugu wanashangaa marehemu wao ni wapiga kura. Leo sehemu nyingi wamebandua majina kuepuka aibu baada ya kuona wananchi wanazomea.

Halafu Waziri unaleta usanii kwamba wananchi wamejiandikisha wengi ili kumfurahisha Rais. Hii ni Katavi, mikoa mingine sasa.

Inaonekana majina walikuwa wanayatoa ktk ofisi za kata wanawapa waandikishaji😀
Tatizo hili la kuandikisha Watu kwa uholela limetengenezwa makusudi na watawala.
Aidha, Hakuna Mifumo thabiti ya Utambuzi wa Watu kwenye hizi nchi zetu hizi za ki-Afrika. Suala hili limefanywa kwa makusudi na baadhi ya Watawala wahalifu ili kuweza kujinufaisha binafsi wao wenyewe wakiwa madarakani. Mathalani, watawala wamekuwa wakivuruga makusudi mifumo ya utambuzi wa Watu katika nchi zao kwa nia ovu ya kutaka kuiba kura nyakati za Uchaguzi wa siasa, ili kuendesha biashara haramu ya binadamu, magendo na uhalifu katika masuala ya utakatishaji fedha chafu, kufanikisha biashara zao za madawa ya kulevya, na kufanikisha biashara haramu za kumiliki na kuendesha Magenge ya Uhalifu. Mfano mzuri zaidi kwenye suala hili ni uendeshaji wa biashara haramu ya magenge ya Utekaji watu na kuomba "Kikombozi" kutoka kwa Wanandugu wa Mtekwaji (abductees that kept into hostage camps) inayofanywa na baadhi ya Watawala wahalifu nchini Nigeria kupitia kwa Magenge ya Wanamgambo wa Boko Haram.
NB: Nchi ya Nigeria ina idadi ya watu wapatao zaidi ya Milioni 200 ambao wanaishi nchini humo, lakini watu ambao wamesajiliwa rasmi kwenye database ya raia wakazi wa nchi hiyo hawafiki hata idadi ya watu Milioni 22 nchini kote. Aidha, hata SIM cards za simu zilizosajiliwa rasmi kwa utambulisho rasmi ulio halali hazifiki hata Milioni Kumi kwenye nchi hiyo yote kabisa.
That's why Nigeria kuna uhalifu mwingi Sana, na ni vigumu Sana kuwatambua wahalifu hao.
 
Wewe utakuwa na shida kichwani, kwa hiyo mtu akifa mtaani kwetu tukamzika utataka tuwe na cheti kueleza kama alikufa ? Na vipi wale waombolezaji msibani wanaonyeshwa cheti hicho?.

Ok kama cheti Cha kifo ktk taarifa ni muhimu kwa ccm vipi hawakuona umuhimu wa kuwa na kitambulisho chochote ktk kuandikisha hao wapiga kura. Je hizi crips zilizo humu za rough ktk uandish na kura za maoni nazo hauziamini?

Utetezi mwingine ni wa kuepuka maana unakuacha na aibu ya ujinga ulionao.
Hakukuwa na haja yeyote kuwa mtu aende kujiandikisha na kitambulisho sababu anaishi kwenye mtaa huo na kijiji husika ndio maana ikawekwa wazi anayepinga aje na ushahidi sio kuchonga mdomo tu kuwa mimi nilitungua kilio mazishi yake kwenda huko

Mtu hazikwi kama mbwa kuna kibali cha mazishi na kuna hati ya kifo yaani death certificate na kuna kaburi lilipo

Huyo mpingaji ndio akalete huo ushahidi

Ndio maana hata ndoa hutangazwa kuwa kama kuna yeyote anayepinga hawa watu wasioane alete pingamizi na ushahidi wa kisheria sio maneno matupu na kutungua kilio cha ooh majirani wanajua .AKalete marriage certificate

Na huyo kama marehemu wewe unayepinga kuwa marehemu kalete vyeti kuanzia cheti cha kuruhusu mazishi cheti cha kifo na onyesha kaburi lake lilipo
 
Hapa
Hakukuwa na haja yeyote kuwa mtu aende na kitambulisho sababu anaishi kwenye mtaa huo na kijiji husika ndio maana ikawekwa wazi anayepinga aje na ushahidi sio kuchonga mdomo tu kuwa mimi nilitungua kilio mazishi yake kwenda huko

Mtu hazikwi kama mbwa kuna kibali cha mazishi na kuna hati ya kifo yaani death certificate na kuna kaburi lilipo

Huyo mpingaji ndio akalete huo ushahidi

Ndio maana hata ndoa hutangazwa kuwa kama kuna yeyote anayepinga haws watu wasioane alete pingamizi na ushahidi wa kisheria sio maneno matupu na kutungua kilio cha ooh majirani wanajua .Kalete marriage certificate

Na huyo kama marehemu wewe unayepinga kuwa marehemu kalete vyeti kuanzia cheti cha kuruhusu mazishi cheti cha kifo na onyesha kaburi lake lilipo
Aliyetaka kusiwe na haja ya kitambulisho chochote ni nani?

Kwani kuishi ktk mtaa mmoja inatosha kufahamiana wote au wewe haujui mitaa ya majiji kwamba mtu na jirani wanaweza kuwa hawafahamiani?

Kwa Nini mnalazimisha kuwepo kwa makosa wakati yangezuilika mapema kwa kisingizio kwamba watu wakate rufaa na huku mfanye delay na kutafuta loop holes. Unakataje rufaa wakati hata majina yaliyobandikwa mmeamua kuyachana, hili nalo unalionaje?
 
Hakukuwa na haja yeyote kuwa mtu aende kujiandikisha na kitambulisho sababu anaishi kwenye mtaa huo na kijiji husika ndio maana ikawekwa wazi anayepinga aje na ushahidi sio kuchonga mdomo tu kuwa mimi nilitungua kilio mazishi yake kwenda huko

Mtu hazikwi kama mbwa kuna kibali cha mazishi na kuna hati ya kifo yaani death certificate na kuna kaburi lilipo

Huyo mpingaji ndio akalete huo ushahidi

Ndio maana hata ndoa hutangazwa kuwa kama kuna yeyote anayepinga hawa watu wasioane alete pingamizi na ushahidi wa kisheria sio maneno matupu na kutungua kilio cha ooh majirani wanajua .AKalete marriage certificate

Na huyo kama marehemu wewe unayepinga kuwa marehemu kalete vyeti kuanzia cheti cha kuruhusu mazishi cheti cha kifo na onyesha kaburi lake lilipo
Hivi kaburi la Gavana wa Benki Kuu ya Tz wa zamani Bw. Daud Balali liko wapi?
Je, unaweza kwenda kutuonyesha?
 
Hapa

Aliyetaka kusiwe na haja ya kitambulisho chochote ni nani?

Kwani kuishi ktk mtaa mmoja inatosha kufahamiana wote au wewe haujui mitaa ya majiji kwamba mtu na jirani wanaweza kuwa hawafahamiani?
Hiyo shida binafsi yako wewe jambazi Huonekani hata vikao vya mjumbe wa nyumba kumi ujulikane kuwa uko eneo lake? Serikali ya mtaa hawakujui hata kwenye kuchangia pesa ya ulinzi shirikishi au kuzoa takataka? Hata msikiti au kanisa la mtaa hawakujui ambao ndio wakazi wa mtaa au kijiji

Sasa wewe hata kama mjumbe wa nyumba kumi hakujui kanisa na msikiti hawakujui una tatizo

Sababu hata ukitaka barua yoyote ya kiserikali unataka passport au kuwekea dhamana mtu utaambiwa kawasiliane kwanza na mjumbe wa nyumba kumi anayekujua wewe ndio Serikali ya mtaa ukupe barua

Mlipoambiwa vyama vyote viweke mawakala kijijini au mtaani ambao wanawajua watu hapo kijijini au mtaani mlifikiri Tamisemi walikuwa mabwege au?

Wewe utakuwa jambazi haiwezekani mjumbe wa nyumba kumi au Serikali ya mtaa wasikujue na watu wasikujue
Unajifanya muingia getini na kutoka hujui cha kanisani wala msikiti ulioko kijijini au mtaani kwako ndio maana hujui watu na hujulikani jambazi wewe

Wakiita kikao cha mkutano wa mtaa au kijiji hutokei unakuwa kwenye mission za ujambazi

Mtaani na vijijini tunajuana ila wewe jambazi mtu wa geti kali ,ukuta mrefu na mbwa mkali utajijua

Mtaani na kijijini hatuhitaji vitambulisho tunajuana na mawakala wa eneo letu wanatujua hatuhitaji vitambullisho kutujua tukienda kujiandikisha
 
Hivi kaburi la Gavana wa Benki Kuu ya Tz wa zamani Bw. Daud Balali liko wapi?
Je, unaweza kwenda kutuonyesha?
Kwani kajiandikisha kupiga kura huyo marehemu Balali? Na ukiona jina la Daudi Balali kwenye kituo utasema ndio yeye? Una uhakika ni yeye au ni mtu mwingine ambaye majina yanafanana? Waweza fikia conclusion kuwa ni yeye beyond reasonable legal doubts? Kuwa marehemu kajiandikisha na kuwa ni yeye na ukatoa ushahidi usio na shaka kuwa ni yeye?

Wa kumpinga asipige kura?
 
Hiyo shida binafsi yako wewe jambazi Huonekani hata vikao vya mjumbe wa nyumba kumi ujulikane kuwa uko eneo lake? Serikali ya mtaa hawakujui hata kwenye kuchangia pesa ya ulinzi shirikishi au kuzoa takataka? Hata msikiti au kanisa la mtaa hawakujui ambao ndio wakazi wa mtaa au kijiji

Sasa wewe hata kama mjumbe wa nyumba kumi hakujui kanisa na msikiti hawakujui una tatizo

Sababu hata ukitaka barua yoyote ya kiserikali unataka passport au kuwekea dhamana mtu utaambiwa kawasiliane kwanza na mjumbe wa nyumba kumi anayekujua wewe ndio Serikali ya mtaa ukupe barua

Mlipoambiwa vyama vyote viweke mawakala kijijini au mtaani ambao wanawajua watu hapo kijijini au mtaani mlifikiri Tamisemi walikuwa mabwege au?

Wewe utakuwa jambazi haiwezekani mjumbe wa nyumba kumi au Serikali ya mtaa wasikujue na watu wasikujue
Unajifanya muingia getini na kutoka hujui cha kanisani wala msikiti ulioko kijijini au mtaani kwako ndio maana hujui watu na hujulikani jambazi wewe

Wakiita kikao cha mkutano wa mtaa au kijiji hutokei unakuwa kwenye mission za ujambazi

Mtaani na vijijini tunajuana ila wewe jambazi mtu wa geti kali ,ukuta mrefu na mbwa mkali utajijua

Mtaani na kijijini hatuhitaji vitambulisho tunajuana na mawakala wa eneo letu wanatujua hatuhitaji vitambullisho kutujua tukienda kujiandikisha
Haya ni masuala ya kipuuzi kabisa yaliyianzishwa na utawala wa Ccm hapa Tanzania. Wakati mfumo wa maisha kwenye nchi za wenzetu wenye akili timamu sawa sawa mtu unaweza unaishi na majirani zako unaotenganishwa nao na fensi Moja za majengo mnayoishi na mnaweza msikutane ana kwa ana hata mara Moja kwa kipindi chote mnachoishi eneo hilo hata kwa muda wa miaka Kumi mfululizo.
Mimi naona yafaa Kila mtu aishi nyumbani kwake kivyake ili kuepusha migogoro ya kibinadamu isipokuwa ya lazima.
 
Hiyo shida binafsi yako wewe jambazi Huonekani hata vikao vya mjumbe wa nyumba kumi ujulikane kuwa uko eneo lake? Serikali ya mtaa hawakujui hata kwenye kuchangia pesa ya ulinzi shirikishi au kuzoa takataka? Hata msikiti au kanisa la mtaa hawakujui ambao ndio wakazi wa mtaa au kijiji

Sasa wewe hata kama mjumbe wa nyumba kumi hakujui kanisa na msikiti hawakujui una tatizo

Sababu hata ukitaka barua yoyote ya kiserikali unataka passport au kuwekea dhamana mtu utaambiwa kawasiliane kwanza na mjumbe wa nyumba kumi anayekujua wewe ndio Serikali ya mtaa ukupe barua

Mlipoambiwa vyama vyote viweke mawakala kijijini au mtaani ambao wanawajua watu hapo kijijini au mtaani mlifikiri Tamisemi walikuwa mabwege au?

Wewe utakuwa jambazi haiwezekani mjumbe wa nyumba kumi au Serikali ya mtaa wasikujue na watu wasikujue
Unajifanya muingia getini na kutoka hujui cha kanisani wala msikiti ulioko kijijini au mtaani kwako ndio maana hujui watu na hujulikani jambazi wewe

Wakiita kikao cha mkutano wa mtaa au kijiji hutokei unakuwa kwenye mission za ujambazi

Mtaani na vijijini tunajuana ila wewe jambazi mtu wa geti kali ,ukuta mrefu na mbwa mkali utajijua

Mtaani na kijijini hatuhitaji vitambulisho tunajuana na mawakala wa eneo letu wanatujua hatuhitaji vitambullisho kutujua tukienda kujiandikisha
Kumbe siyo kosa lako, najadili na mjinga yule wa TWAWEZA tena wa kijijini maana ungekuwa mjini usingeandika huu upuuzi na kama uko mjini we huna kazi ya kufanya zaidi ya kuzurula mitaani.
 
Back
Top Bottom