LGE2024 Marehemu wengi Katavi waandikishwa kwenye daftari la wapiga kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Usingekuwa na ujinga ungejibu ulichoulizwa hiyo rufaa inakatwaje walati majina yaliyobandikwa mmeyachana ktk sehemu zote zilizolalamikiwa?
 
Kumbe siyo kosa lako, najadili na mjinga yule wa TWAWEZA tena wa kijijini maana ungekuwa mjini usingeandika huu upuuzi na kama uko mjini we huna kazi ya kufanya zaidi ya kuzurula mitaani.
Mjini watu wanajulikana wewe acha kujifungia Getini wewe mtu akifiwa mtaani toka changia iwe msiba ,harusi ,mkutano nk uwe unatoka unajifungia ndani tu kama mwali au jambazi ukitoka gari tinted watu mtaani wakujue una nini lofa wewe unadhani mtaani kuna mtu atakuomba hela au? hadi usiwe active mambo ya mtaani ? Wewe Billy Gates lofa wewe kiasi kuwa ukienda kujiandikisha lazima uende na kitambulisho sijui NIDA sijui nini? Mtaani kichwa chako na uhusiano na watu mtaani hauko sawa wahi Mirembe Hospital ukatibiwe ugonjwa wa akili

Mtaani mtu hata akifika hajui kwako akiuliza naenda kwa fulani watu wa mtaani wanabidi waelekeze chapchap kuwa kwake pale lofa wewe mvaa suti kibarua serikalini au mla ruzuku au jambazi
 
Usingekuwa na ujinga ungejibu ulichoulizwa hiyo rufaa inakatwaje walati majina yaliyobandikwa mmeyachana ktk sehemu zote zilizolalamikiwa?
Tamisemi wako makini mno ukijifanya mjanja peleka kesi mahakamani uone mziki wake vyama vyote ikiwemo Chadema wapata ruzuku Tamisemi wamewaambia wekeni mawakala mnaleta ujuaji

Haya kawambieni wafadhili wenu wa ndani na nje je mliweka mawakala kila kituo cha kujiandikisha nchi nzima? Wakati pesa waliwapa na ruzuku mlipewa

Chadema toeni jibu kwa wafadhili wenu na CAG

Pesa za mawakala nchi nzima mumekula makao makuu au ?

Mbowe na Lisu achaneni kutapeli

Pesa za kuweka mawakala vituo nchi nzima vya kuandikisha mbona hamjaweka?

Wafadhili tafadhali hakikini randomly wasiwapangie kuhakiki wapi muone utapeli wa Chadema hakikini hasa vijijini randomly ndio mtajua mna finance wezi

Wasiwapangie mwende wapi kuhakiki kama mawakala walilipwa posho zao

Someni tu report zao ohh tulilipa wote chagueni popote randomly kahakikini kwa wenyewe mawakala mtajua wizi Chadema wanavyowaibia pesa zenu kwa manufaa ya wachache Mbowe na Lisu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…