Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Tuwakumbuke marehemu wetu wa jf toka kuanzishwa
Hakuna kifo cha mwanajf kilichoniuma kama cha yule member wetu aliyekanyagwa na gari miaka mitano iliyopita dar es salaam na alikuwa maarufu sana humu tena janky sana jina nimesahau
Remembering our fallen heroes
Hakuna kifo cha mwanajf kilichoniuma kama cha yule member wetu aliyekanyagwa na gari miaka mitano iliyopita dar es salaam na alikuwa maarufu sana humu tena janky sana jina nimesahau
Remembering our fallen heroes