Marehemu wetu wa JamiiForums

Marehemu wetu wa JamiiForums

Tuwakumbuke marehemu wetu wa jf toka kuanzishwa
Hakuna kifo cha mwanajf kilichoniuma kama cha yule member wetu aliyekanyagwa na gari miaka mitano iliyopita dar es salaam na alikuwa maarufu sana humu tena janky sana jina nimesahau

Remembering our fallen heroes
Unamsema doto mnzava?
List ni kubwa
Yupo Mbunge aliekua Chadema, alikua mlemavu Yule Dada, alipata ajali pale Ruvu
Yupo classmate wangu, ndugu yangu na Rafiki yangu toka utotoni na aliekua mgombea Ubunge Mohamedi Mtoi
Yupo member mwingine Mwana Dada alifia Nairobi mwaka Jana Kwa Kisukari, wapo wengine wengi
 
Usiniletee uchuro ndugu yangu; mimi bado nadunda. Labda itokee baada ya kuandika post hii kutokana na huu uchuro wako. Vipi, unaota niwe marehemu?
pole kichuguu kuna watu wengine ndaza kweli kweli
 
Haya mambo ya kukufahamiana kwenye mitandao tena kwa id fake shida kweli, kuna ID zimepotea kweli humu , we unazan mtu yupo bussy na kusaka mafweza kumbe mwenzako keshakufa na sio member wa jf tena ni member wa kuzimu/mbinguni. Cha msing tuseme R.I.P wote walioleft grp tunaowajua na tusiowajua au ka vip kwa wale tusiojulikana ni vzr tukapeana R.I.P mapema kama mimi napokea ramb ramb zangu kuanzia leo. ahsanteni kutoa n moyo si utajiri
Watu wanatumia ID fake sasa wanajulikana vipi kama wameleftishwa na Mungu?
 
Huyo jamaa sio school mate wangu kweli? Alikuwa mwanachuo UD? Pia aligongwa ubungo darajani? Kama ndo huyo basi Mungu ailaze mahali pema peponi roho yake.
bamkumbuka sana huyo jembe, tulikuwa tunavuta nae sigara mm embasy yeye sportman hall five pale kwa fund viatu na pia, alikuwa ndaki ya uhandis mitambo ( Mechanical eng)..japo nilimzidi madarsa matatu...

alikuwa mpole sana yule mchaga wa rombo, na kila jumapili lazima tusali nae ibada ya 2 au ya tatu...

Mungu ailaze mahala pema peponi..

Raha ya Milele uwape ee Bwana, Mwanga wa milele uwaangazie, Marehemu wote wapumzike kwa Aman..

Amina[emoji120]
 
bamkumbuka sana huyo jembe, tulikuwa tunavuta nae sigara mm embasy yeye sportman hall five pale kwa fund viatu na pia, alikuwa ndaki ya uhandis mitambo ( Mechanical eng)..japo nilimzidi madarsa matatu...

alikuwa mpole sana yule mchaga wa rombo, na kila jumapili lazima tusali nae ibada ya 2 au ya tatu...

Mungu ailaze mahala pema peponi..

Raha ya Milele uwape ee Bwana, Mwanga wa milele uwaangazie, Marehemu wote wapumzike kwa Aman..

Amina[emoji120]
Hall 5 kwa mmakonde mshona viatu aka kariakoo?pale hadi bangi zipo cc. alibakari
 
Back
Top Bottom