Kwa faida ya wengine wanaohitaji ufahamu zaidi ni kuwa ushahidi huu wa kisayansi umesimamia ktk sayansi ya hesabu. Maana ktk hesabu 1+1+1=3 ni ushahidi ya kisayansi. Lkn 1+1+1=1 huu ni ushahidi wa kibubusa.
Quran inathibiti kuwa ni Maneno ya MwenyeziMungu kwakuwa haiwezi kuongezwa, kurekebishwa wala kupunguzwa. Na ukweli jaribu kufanya hivyo utashindwa ukiwa ktkt ya safari yako. Sababu moja wapo ni kuwa Quran kama muujiza inakuwa namba 19.
Namba 19 ina maana gn ktk Quran?
Sasa kama wewe huitaji huu ushahidi unaoendana na karne tuopo ya sayansi bali Quran inakupa challege ktk surah ya
- Aya ya kwanza ni neno (1:1), "Bismalah" kina herefi 19 herufi za kiarabu.
- Quran ina surah (chapters 114, ambazo zinagawika kwa (19) kwa maana 19* 6=144
- Quran ina ayah 6346, inagawanyika kwa (19)x334 =6346
- is the total of 6346 ni sawa na ukizijumlisha 6 + 3 + 4 + 6 = 19
- Wahayi (Maneno ya MwenyeziMungu) ya kwanza kuteremshiwa mtume hapo ktk surah ya (96:1-5) Ni Maneno 19 na herufi 76 ambayo kwayo inagawanyika kwa (19) x 4.
- Surah ya kwanza kuteremshwa na kukamilika ni (surah 96) INA aya 19 na herufi za kiarabu 304 hii ni sawa na (19 x 16)
Baqarah 2:23
And if you are in doubt about what We have sent down upon Our Servant [Muhammad], then produce a surah the like thereof and call upon your witnesses other than Allah, if you should be truthful.
kama mtume aliiandika tu yeye Quran kama kalamu za waandishi zilizoiingizwa kwenye bibilia, na kukifanya kuwa ni maandiki yenye maslahi Kwa watu weupe,
basi wewe jaribu kuiandika Quran na aya zako hizi ziwe verified Kwa no 19.
Luka 1:1
need u say more...
SANCTUS ANALECTUS Hebu rejea kwenye kile kitabu cha Michael H. Hart cha 100 most influential people in the world
100 most influential people in the world |
Tuwaenzi watu kwa jinsi walivyoishi hapa duniani na ujumbe wao waliyouacha baada ya kuondoka kwao.
Na kila jamii ya watu wawaenzi watu wao wanaowaona wanafaa kuenziwa.
We ulitaka aonane nae msalabani, pale mnapodai kuwa alisurubiwapo?
MBona alimwita alishindwa kuja kumuokoa.
Acha ujinga wewe muabudu masanamu.
Ok lakin hao sio mitume. Waenziwe kama wanaharakati.
Hoja yako kuu ni kutaka kujadili utume wa Muhammad hao wengine umewaweka ili kupoteza maboya
Ila sijui kwanini unahoji utume wa kupewa wa Muhammad ili hali na wewe kanisa lako linafanya vilevile kwa watu wake kwa kuwapa utakatifu kwanini usihoji hili?
Muhammad alipewa utume wake na bwana Waraqa sawasawa na nyie mnavyotoa utakatifu kwa watu usitake kutoa kibanzi kwa mwenzio wakati wewe una boriti
hahahaaa.....asome huyooMahatma Ghandi hajawahi kuwa rafiki WA mtu mweusi na alimuona mtu mweusi kama kiumbe kisicho na thamani,soma mkuu
ametaka kumkashifu mtume kwa kumfananinsha na wana harakati..Kichwa cha habari kingesomeka:-
Marejeo ya Historia: Mahatma Ghandi, Abraham Lincoln, Nelson Mandela na Mama Tereza waenziwe kwa utume kama Muhammad au Yesu?
Kuna mengi huwa siwaelewagi,Utasikia yesu alikuwa mwislamu na aliingia msikitini na alivua viatu- Wakati Yesu aliondoka Duniani kabla ya uislamu kuanzishwa
Watakusomea na kutumia mistari ya Bibilia kukazia mambo yao flani flani -Mwisho wa siku ukiwapa Aya iliyoshiba katika waliulizalo utasikia hatuamini Bibilia siyo kitabu cha MUNGU au Bibilia ni Kava.
Oooh uslamu na mtume wametajwa kwenye Bibi lia -ukifwatilia ni ile ahadi ya Roho mtakatifu aliyosema yesu
Asicho penda MUNGU au kilicho mgadhibisha sana Ndicho wakitendacho
Mf: Hakuna ufrauni bila uislamu,Vita na visasi,Uchawi/Mapepo/Maalibadri na nk
Nimepata point kama Mtume wao alivyokuwa anakabwa na kupewa utume Ndio maana wanatumiaga mabavu kueneza Hichi kikundi chao kama mwasisi alivyo Lazimishwa
Ntakuwa wa mwisho kuamini kwamba aliyekuwa anamkaba ni Malaika
ndilo lengo lako.. kashfa....Kwa hiyo, Muhammad kujiita na kuitwa Mtume ni katika mkururu Wa u-fake?
Kuna mengi huwa siwaelewagi,Utasikia yesu alikuwa mwislamu na aliingia msikitini na alivua viatu- Wakati Yesu aliondoka Duniani kabla ya uislamu kuanzishwa
Watakusomea na kutumia mistari ya Bibilia kukazia mambo yao flani flani -Mwisho wa siku ukiwapa Aya iliyoshiba katika waliulizalo utasikia hatuamini Bibilia siyo kitabu cha MUNGU au Bibilia ni Kava.
Oooh uslamu na mtume wametajwa kwenye Bibi lia -ukifwatilia ni ile ahadi ya Roho mtakatifu aliyosema yesu
Asicho penda MUNGU au kilicho mgadhibisha sana Ndicho wakitendacho
Mf: Hakuna ufrauni bila uislamu,Vita na visasi,Uchawi/Mapepo/Maalibadri na nk
Nimepata point kama Mtume wao alivyokuwa anakabwa na kupewa utume Ndio maana wanatumiaga mabavu kueneza Hichi kikundi chao kama mwasisi alivyo Lazimishwa
Ntakuwa wa mwisho kuamini kwamba aliyekuwa anamkaba ni Malaika
Unasema "Bislamah",neno la Kiarabu lina Elfu 19, je,neno hilo katika Lugha yako lina herufi ngapi? Kwa hiyo,Mungu anaongea Kiarabu tu?
ametaka kumkashifu mtume kwa kumfananinsha na wana harakati..
inahitaji akili ndogo sana kujua....kwa mtu mbishi kama wewe huwezi hata kuelewa kitabu chako mwenyewe!!!Soma vizuri Mkuu. Limetolewa swali. Lete hoja makinifu katika kumchomoa kwenye Uanaharakati au kumuingiza kwenye utume.
Malaika hawezi kumkaba MTU kizembe hivyo. Hadi malaika amkabe MTU maana yake amekasirika. Je,Malaika anaweza kumkaba mtu na bado akabakiwa na nguvu za kutoka anahema hadi kwa mkewe Khadija nyumbani na kisha kwa kasisi Waraqah kupigiwa ramli?
Soma vizuri Mkuu. Limetolewa swali. Lete hoja makinifu katika kumchomoa kwenye Uanaharakati au kumuingiza kwenye utume.
Siwezi kughafirika kwa hoja mufilisi kama yako ya kuwaonea wivu waislamu na wao kumpachika utume Muhammad wakati na wewe dhehebu lako linafanya hivyohivyo1. Njoo vizuri Mkuu. Usiwe na papara. Hivi, Tutakufundisha hadi lini uweledi Wa kuziendea mijadala kisomi?
2. Nimetoa hoja kwa vielelezo vya watu watano. Lete hoja za nguvu katika kumchomoa yeyote unayeona haguswi na hoja zangu. Hakuna mahali popote katika mjadala huu nimesema Muhammad sio Mtakatifu. Mimi ni nani hata niseme Muhammad hayu Mbinguni? Tofautisha hayo mambo mawili: mtume na mtakatifu.
Mamlaka ya kutangaza watu watakatifu ni mamlaka waliyopewa Mitume na Mahalifa wao kutoka kwa Yesu. Yesu alimtangaza Yule Kibaka msalabani kuwa Mtakatifu. Na Yesu ametupatia Kanisa mamlaka yote: kutangaza au kukataza jambo lolote ilimradi ni kwa sifa na manufaa ya walimwengu na Mbingu pia.
3. Unatokwa mapovu kwa sababu unafahamu kwamba hata "Nabii" wako Ellen White naye alijipachika unabii?
sawasawa...Nitakujibu kwa mara ya mwisho.
1. Mimi ni muislam na nashuhudia kuwa hakuna apaswaye kuabudiwa kwa haki ila Allah Muumbaji na MUHAMMAD (SAW) ni MTUME wa ALLAH..........Huo ndio ufuasi ninakusudia. Nani anashuhudia hivyo Kwa Mandela na Mahtma?
2. Mandela hana wafuasi zaidi ya wafuasi wa Kagame ..hao ndio daraja lake
3. Saa hao 2.28 B followers ni wafuasi wa Francis, Paul au Jesus? Shirikisha ubongo acha mihemko!