masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
Hivi unafikir kuna mtu ambaye ajawai kupingwa ? Musa alikwenda kwa FARAO na miujiza lakini bado alipingwa sasa ajabu hiko wapi Mohamadi kupingwa? hizi elimu mnasoma wapi?Ndio Kisa tunawaelimisheni kwamba Imani lazima iendane na Elimu au kufikiri. Nje ya hapo,ni kuendeleza Yale Yale ya Muhammad kupanga,kuratibu na kisha kutekeleza mauaji ya watu wasomi waliokuwa wanajitokeza kumpinga kwa kumpasukia wazi wazi kwamba kile alichokuwa anadai ni ufunuo(wahyi) au Kurani ilikuwa si chochote isipokuwa udokozi Wa Kazi za kitaaluma za watu wengine.
Nimekueleza haya kwa sababu unaonekana umesoma mada hii lakini umeshindwa kufahamu maudhui ni nini na umeshindwa kufahamu hoja zinazohitajika kujibu mapigo. Hebu jitahidi sana kukazania suala la Shule. Nina imani ukizingatia utafika mbali.