eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Nchi za Opec Plus zimekubaliana kupunguza uzalishaji wa mafuta kwa sababu za kiuchumi. Lakini marekani yakurupuka na kusema Saudia amefanya njama na Urusi ili kupitisha azimio hilo.
Matokeo yake bunge lao wameanza kusema wataanza kupitia upya sera ya mahusiano na kati yake na Saudia.
Naona sasa wameona hakuna namna maana kwenye OPEC + Russia yuko ndani ya nyumba.
Nchi za OPEC + ni Azerbaijan, Bahrain, Brunei, Kazakhstan, Malaysia, Mexico, Oman, Russia, South Sudan and Sudan.
Chanzo: DW mchana.
Matokeo yake bunge lao wameanza kusema wataanza kupitia upya sera ya mahusiano na kati yake na Saudia.
Naona sasa wameona hakuna namna maana kwenye OPEC + Russia yuko ndani ya nyumba.
Nchi za OPEC + ni Azerbaijan, Bahrain, Brunei, Kazakhstan, Malaysia, Mexico, Oman, Russia, South Sudan and Sudan.
Chanzo: DW mchana.