Marekani achanganyikiwa baada ya nchi za OPEC Plus kutangaza kupunguza uzalishaji wa mafuta

Marekani achanganyikiwa baada ya nchi za OPEC Plus kutangaza kupunguza uzalishaji wa mafuta

Hiyo serikali ya kifalme ya Saudi Arabia iliwekwa madarakani na Marekani na Uingereza mwanzoni mwa miaka ya thelathini.

Hii serikali ya kifalme haina mustakbali wowote huko mbele na huyu mfalme wa sasa ndio atakuwa wa mwisho baadaye Saudi Arabia itakuwa na utawala wa kidemokrasia ambao utatenganisha siasa na mambo ya dini hali ambayo itapelekea Saudi Arabia kuwa na maendeleo makubwa.
Mmechelewa sana
 
Kwahiyo OPEC wanafanya vyema kupunguza uzalishaji ili mafuta yapande bei? Wabongo kama siyo ukichaa tuna utindio wa ubongo
chimba chimba utajua ukweli na sio kupandisha bei ya mafuta kama unavyosema.

kulikua na sababu zipi za kuweka vikwazo vya mafuta ya urusi mzalishaji mkubwa wa Duniani alafu gesi ya urusi inayokwenda Ulaya haikuwekewa vikwazo?

kumbuka Urusi na member wa OPEC.
 
Kuna wale Wahouth WA Yemen na Iran , wanasema don't bite the hand that feeds you ,naona wamevimbiwa hawa wa Saudia ngoja balaa lianze hizo kobazi ,madela na vilemba vyao wataviona vizito
Ukiwa na pesa mambo yanakaa sawa tu......maana akiyajenga na hao houthi bado pigo kwa marekani.......mashariki ya kati mmarekani anamuhitaji sana Saudia kuliko Saudia anavyomuhitaji Mmarekani kwa sasa
 
Nchi za Opec Plus zimekubaliana kupunguza uzalishaji wa mafuta kwa sababu za kiuchumi. Lakini marekani yakurupuka na kusema Saudia amefanya njama na Urusi ili kupitisha azimio hilo.

Matokeo yake bunge lao wameanza kusema wataanza kupitia upya sera ya mahusiano na kati yake na Saudia.

Naona sasa wameona hakuna namna maana kwenye OPEC + Russia yuko ndani ya nyumba.

Nchi za OPEC + ni Azerbaijan, Bahrain, Brunei, Kazakhstan, Malaysia, Mexico, Oman, Russia, South Sudan and Sudan.

Chanzo: DW mchana.
Venezuela hayupo mkuu
 
Rasmi sasa: Uzalishaji wa Mafuta kupungua na Kundi la OPEC +.
 
Back
Top Bottom