Marekani achanganyikiwa baada ya nchi za OPEC Plus kutangaza kupunguza uzalishaji wa mafuta

Marekani achanganyikiwa baada ya nchi za OPEC Plus kutangaza kupunguza uzalishaji wa mafuta

Nchi za Opec Plus zimekubaliana kupunguza uzalishaji wa mafuta kwa sababu za kiuchumi. Lakini marekani yakurupuka na kusema Saudia amefanya njama na Urusi ili kupitisha azimio hilo.

Matokeo yake bunge lao wameanza kusema wataanza kupitia upya sera ya mahusiano na kati yake na Saudia.

Naona sasa wameona hakuna namna maana kwenye OPEC + Russia yuko ndani ya nyumba.

Nchi za OPEC + ni Azerbaijan, Bahrain, Brunei, Kazakhstan, Malaysia, Mexico, Oman, Russia, South Sudan and Sudan.

Chanzo: DW mchana.
Biden wakati wa kampeni USA alimdhihaki mfalme wa Saudia, sasa naona ana mlipizia kisasi!
 
Hiyo serikali ya kifalme ya Saudi Arabia iliwekwa madarakani na Marekani na Uingereza mwanzoni mwa miaka ya thelathini.

Hii serikali ya kifalme haina mustakbali wowote huko mbele na huyu mfalme wa sasa ndio atakuwa wa mwisho baadaye Saudi Arabia itakuwa na utawala wa kidemokrasia ambao utatenganisha siasa na mambo ya dini hali ambayo itapelekea Saudi Arabia kuwa na maendeleo makubwa.
Labda kama unaiongelea saudia ya chato.
 
Sijui OPEC walikuwa kweli wameungana na Russia kupigana na Marekani are they serious???? Let us see what will happen yetu macho
Mkuu watu wanafanya business wewe unaleta mihemko yako.

Kwa kifupi kwenye siasa za kimataifa hakuna rafiki wa kweli, usione USA anataka production iongezeke ukadhani anakupenda, anaangalia faida yake kama OPEC wanavyo angalia faida yao.
 
Mkuu watu wanafanya business wewe unaleta mihemko yako.

Kwa kifupi kwenye siasa za kimataifa hakuna rafiki wa kweli, usione USA anataka production iongezeke ukadhani anakupenda, anaangalia faida yake kama OPEC wanavyo angalia faida yao.
Kuna mhemko gani hapo, je wewe unachakufanya hapo au ni taarifa tu kwetu can we infuence anything there? Sinamhemko apo acha hizo habari.
 
Hiyo serikali ya kifalme ya Saudi Arabia iliwekwa madarakani na Marekani na Uingereza mwanzoni mwa miaka ya thelathini.

Hii serikali ya kifalme haina mustakbali wowote huko mbele na huyu mfalme wa sasa ndio atakuwa wa mwisho baadaye Saudi Arabia itakuwa na utawala wa kidemokrasia ambao utatenganisha siasa na mambo ya dini hali ambayo itapelekea Saudi Arabia kuwa na maendeleo makubwa.
Ushakuwa sheikh yahya unatoa utabiri Hila kutabiri vya nchini kwako huwezi
 
Uzuri US ana kete zake haendi kinyonge, kingine mafuta anayo, na ndiyo maana ana ubavu wa kuamua kufanya hayo anayoyafanya sasa hivi na siku zijazo
Sasa anacholalamikia ni nini?,si angepiga kimya?,usilolijua ni sawa na usiku wa giza tororo,hujui kitu wewe,ni shabiki maandazi wa USA
 
Nilikuwa natazama aljazeera nikaona anaichimba mkwara Saudi Arabia kuwa kuna consequences za kuungana na mrusi.

Sasa jambo la kuchekesha ni kwamba wao marekani hawaongezi uzalishaji wa mafuta eti kwakuwa wawekezaji ya makampuni hao ya mafuta hawana uhakika kama wakiongeza uzalishaji bei haitoporomoka.

Pia IMF wanasema 2023 utakuwa mwaka ambapo hali ya uchumi itatikisika kinoma dunia itapitia magumu sana na chumi za nchi zitaanguka.
Na bado tena nchi zinazoongozwa na mandezi kama hapa ,we subiri tutataftana humu
 
Kwahiyo OPEC wanafanya vyema kupunguza uzalishaji ili mafuta yapande bei? Wabongo kama siyo ukichaa tuna utindio wa ubongo
Wabongo ni misukule , ukiyaona yanavyo jjiliza na inflation as if hayajui sababu mojawapo ya inflation ni kupanda Kwa BEI ya nishati ya mafuta na gesi
 
Malekani amewekeza akili yake nyingi pale Saudi Arabia bila yao kuelewa ivyo. Wao wanakaaa wanawaza kuzaa na kuenda msikitini, subiri kinuke waanze kukimbizana na kumfata USA awasaidie. Dunia uwanja wa fujo, na asiyekuwa na nguvu kafa
Kuna wale Wahouth WA Yemen na Iran , wanasema don't bite the hand that feeds you ,naona wamevimbiwa hawa wa Saudia ngoja balaa lianze hizo kobazi ,madela na vilemba vyao wataviona vizito
 
Unajua marekani sijui wanatuchukuliaje watu ambao si wamarekani.
Wewe mwenyewe ukijiangalia na ukiwaangalia wenzako hapo nchini kwenu mnajiona ni watu wa kawaida ?

Hivi hiyo nchi yenu ni sahihi kweli kukosa umeme wa uhakika ?
Hivi hiyo nchi yenu ni sahihi kweli watu kukosa chakula cha uhakika?
Hivi hiyo nchi yenu ni sahihi waziri kununua brand new vehicle ya mwaka 2022 kwa matumizi ya kwenda ofisin na kurud nyumbani ?

Huoni kwamba akili zenu hazina akili ?
 
Kudos OPEC+[emoji1376]

The US interest are not everybody else business.
 
Back
Top Bottom