Marekani: Afrika inakuhitaji rudi uwe nasi

Marekani: Afrika inakuhitaji rudi uwe nasi

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,380
Reaction score
1,686
Nakuomba sana Marekani Afrika bado inakuhitaji sana,
Sisi ni kama watoto bado hatuwezi wenyewe unajitoa unajipeleka wapi Marekani?

Marekani baba kama kuna mahali tumekukosea tunaomba utusahamee, tunakuomba sana.

Angalia unajitoa je ARV tutakuwa tunapata wapi?
Na kuna zile neti je?

Kuna kipindi ulitupa misaada mingi sana tena kipindi tukipitia kwenye matatizo makubwa na tulikuwa tunakushukuru,.

Sisi ni bado watoto kwako wenyewe hatuwezi rudi uwe nasi.

Bado tunahitaji hisani yenu watu wa Marekani.
Ni mdomo tu tumekuwa nao ila viongozi wetu hawawezi kitu bila ya wewe Marekani.
Viongozi wetu wamejaa usiasa na porojo nyingi huku wakiwazia matumbo yao sana kuliko maslahi ya wananchi wao.

Nakuomba Marekani kama kuna uwezekano basi rete hata viongozi wenu waje kuiongoza Afrika.


Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
 
Bila wahisani Afrika itaangamia kwa magonjwa hatuna wataalamu wabobezi,chanjo zetu wenyewe,ARV zetu, hata kiwanda cha neti pia hatuna dah! Ogopa sana upungufu wa kitu, hasa upungufu wa kinga mwilini, upungufu wa chakula,upungufu wa dawa, upungufu wa akili, upungufu kila kona dah
 
Bila wahisani Afrika itaangamia kwa magonjwa hatuna wataalamu wabobezi,chanjo zetu wenyewe,ARV zetu, hata kiwanda cha neti pia hatuna dah! Ogopa sana upungufu wa kitu, hasa upungufu wa kinga mwilini, upungufu wa chakula,upungufu wa dawa, upungufu wa akili, upungufu kila kona dah
Mmekumbatia viongozi wajinga
 
Nakuomba sana Marekani Afrika bado inakuhitaji sana,
Sisi ni kama watoto bado hatuwezi wenyewe unajitoa unajipeleka wapi Marekani?

Marekani baba kama kuna mahali tumekukosea tunaomba utusahamee, tunakuomba sana.

Angalia unajitoa je ARV tutakuwa tunapata wapi?
Na kuna zile neti je?

Kuna kipindi ulitupa misaada mingi sana tena kipindi tukipitia kwenye matatizo makubwa na tulikuwa tunakushukuru,.

Sisi ni bado watoto kwako wenyewe hatuwezi rudi uwe nasi.

Bado tunahitaji hisani yenu watu wa Marekani.
Ni mdomo tu tumekuwa nao ila viongozi wetu hawawezi kitu bila ya wewe Marekani.
Viongozi wetu wamejaa usiasa na porojo nyingi huku wakiwazia matumbo yao sana kuliko maslahi ya wananchi wao.

Nakuomba Marekani kama kuna uwezekano basi rete hata viongozi wenu waje kuiongoza Afrika.


Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Kiwango cha juu cha upumbavu
 
Muda wa kuacha kuwaza ngono na kuacha kukaa vijiweni umefika
 
Ikija kutokea DANIDA, FINIDA na JIKA, nao wakajitoa, tutarudi kwenye ulemavu na vifo vya pepopunda, surua, tetekuwanga, n.k. Kwa hao viongozi wetu ambao uwezo wao umeishia kununua magoli, kubandika picha za sura zao, kutengeneza machawa, na kugawa pikipiki, tusitegemee lolote la maana!!
 
Nakuomba sana Marekani Afrika bado inakuhitaji sana,
Sisi ni kama watoto bado hatuwezi wenyewe unajitoa unajipeleka wapi Marekani?

Marekani baba kama kuna mahali tumekukosea tunaomba utusahamee, tunakuomba sana.

Angalia unajitoa je ARV tutakuwa tunapata wapi?
Na kuna zile neti je?

Kuna kipindi ulitupa misaada mingi sana tena kipindi tukipitia kwenye matatizo makubwa na tulikuwa tunakushukuru,.

Sisi ni bado watoto kwako wenyewe hatuwezi rudi uwe nasi.

Bado tunahitaji hisani yenu watu wa Marekani.
Ni mdomo tu tumekuwa nao ila viongozi wetu hawawezi kitu bila ya wewe Marekani.
Viongozi wetu wamejaa usiasa na porojo nyingi huku wakiwazia matumbo yao sana kuliko maslahi ya wananchi wao.

Nakuomba Marekani kama kuna uwezekano basi rete hata viongozi wenu waje kuiongoza Afrika.


Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Ende Mwana akome nasema ivi HATUMUHITAJIIIIIII KABISAAA .Kama unamuhitaji ni wewe tu .Anaemuhitajia Marekani ni Mwiziiiiiiii.
 
Viongozi wenu wa kiafrica wanajisahau, kipaumbele matumbo yao kwanza.
 
Kwani ndugu zenu wachina na warusi si wapo wawqsaidie kuwapa madawa?
 
Nakuomba sana Marekani Afrika bado inakuhitaji sana,
Sisi ni kama watoto bado hatuwezi wenyewe unajitoa unajipeleka wapi Marekani?

Marekani baba kama kuna mahali tumekukosea tunaomba utusahamee, tunakuomba sana.

Angalia unajitoa je ARV tutakuwa tunapata wapi?
Na kuna zile neti je?

Kuna kipindi ulitupa misaada mingi sana tena kipindi tukipitia kwenye matatizo makubwa na tulikuwa tunakushukuru,.

Sisi ni bado watoto kwako wenyewe hatuwezi rudi uwe nasi.

Bado tunahitaji hisani yenu watu wa Marekani.
Ni mdomo tu tumekuwa nao ila viongozi wetu hawawezi kitu bila ya wewe Marekani.
Viongozi wetu wamejaa usiasa na porojo nyingi huku wakiwazia matumbo yao sana kuliko maslahi ya wananchi wao.

Nakuomba Marekani kama kuna uwezekano basi rete hata viongozi wenu waje kuiongoza Afrika.


Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Tujitegemee.
 
Ikija kutokea DANIDA, FINIDA na JIKA, nao wakajitoa, tutarudi kwenye ulemavu na vifo vya pepopunda, surua, tetekuwanga, n.k. Kwa hao viongozi wetu ambao uwezo wao umeishia kununua magoli, kubandika picha za sura zao, kutengeneza machawa, na kugawa pikipiki, tusitegemee lolote la maana!!
Ww umefanya nn maana uongozi unaanza na wew
 
Nakuomba sana Marekani Afrika bado inakuhitaji sana,
Sisi ni kama watoto bado hatuwezi wenyewe unajitoa unajipeleka wapi Marekani?

Marekani baba kama kuna mahali tumekukosea tunaomba utusahamee, tunakuomba sana.

Angalia unajitoa je ARV tutakuwa tunapata wapi?
Na kuna zile neti je?

Kuna kipindi ulitupa misaada mingi sana tena kipindi tukipitia kwenye matatizo makubwa na tulikuwa tunakushukuru,.

Sisi ni bado watoto kwako wenyewe hatuwezi rudi uwe nasi.

Bado tunahitaji hisani yenu watu wa Marekani.
Ni mdomo tu tumekuwa nao ila viongozi wetu hawawezi kitu bila ya wewe Marekani.
Viongozi wetu wamejaa usiasa na porojo nyingi huku wakiwazia matumbo yao sana kuliko maslahi ya wananchi wao.

Nakuomba Marekani kama kuna uwezekano basi rete hata viongozi wenu waje kuiongoza Afrika.


Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Afrika tunasifika kwa kuoa wake wengi na kupigana miti, sasa mna utoto gani hadi msaidiwe na trump?
 
Back
Top Bottom