Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Propaganda hizo.Utashangaa kuna watu wanaiponda USA wakati kuna mambo ya msingi sana wanazisaidia nchi za kiafrika. Hao China sijuwi, Iran, Russia hawana muda na sisi zaidi ya kututumia tu.
How serious are you?Afrika hatuko serious kwakweli
Unarokota maneno unayakariri halafu unatapika nyongo🤣🤣🤣🤣Afrika tunasifika kwa kuoa wake wengi na kupigana miti, sasa mna utoto gani hadi msaidiwe na trump?
Sasa uache upumbavu wa kulilia misaada, uanaume unaishia kuoa tuu?Unarokota maneno unayakariri halafu unatapika nyongo🤣🤣🤣🤣
Kuna shida gani ya kuoa wake wengi?
Nini kinachokuuma hivyo ww.
Kumbuka tu Kupigana miti ni Afya.
Hoja zako zinakinzana 🤩🤔
Eti tunasifika. Na ww na akili zako zinakutuma kusema nn? Manake hayo ni maoni ya hao wanaotusifia, ww unafikiri tuna sifa gani?
Hapo tu nisha kudharau. where is the substance in your post?Sasa uache upumbavu wa kulilia misaada, uanaume unaishia kuoa tuu?