Marekani awanahofia mashambulizi dhidi ya Wahouthi watajibu kwa makombora ya ballistic missiles, ambayo ni hatari

Mungu mkubwa Sheikh
Propaganda chafu kwa sasa watu wamejitambua na tactic zao zote zinajulikana
Israel safari hii wameshikwa pabaya Walahi
Kabisa kwa sasa watu labda uwape pesa ila kuwa brain wash kijinga jinga imekua kazi
Israhell na misaada yooote anayopewa ila amekua wakawaida sana sana sana zaidi ya nlivyo tarajia kua atakua
 
OK, nakubaliana na wewe, Israel ameshindwa vita. si ndio.
 
Waislamu ni magaidi lazima wazibitiwe ,ndo chanzo Cha vurugu duniani
Hakuna anaeweza kuwadhibiti waislam na uislam
Yaani hio ndio ndoto ya kila kafiri tokea zama na enzi ila hamjawahi na hamtakuja kufanikiwa
Uislam ndio mfumo sahihi wa maisha ya mwanaadam anaotakiwa kuuishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…