Marekani azidisha upanuzi wa kambi yake ya kijeshi nchini!

Mazoezi ya kijeshi wakishirikiana na kdf palee manda pier yanaendelea View attachment 986679View attachment 986680

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mazoez yanawasadia nini kama kila siku mnavamiwa na wasomali. Imeniuma sana shambulio la Leo wakufa raia wema wasio na kosa lolote . Nina uhakika hujuma(ukabila na siasa kuelekea uchaguzi mkuu) zilipo ndani ya vyombo vya usalama nchini kenya ndiyo chanzo cha hayo matukio ya hao maboya kulipua kila siku na kupoteza maisha ya raia wema humo .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale shinbet waisrail walikuwa wamelala ? Waingereza na Wamarekani nao ? Beberu hana manufaa kwetu .... Poleni sana kwa shambulio.
 

Zanzibar walithubutu na waliweza !! Au kama Zanzibar sio Afrika, basi ok.
 
Zanzibar walithubutu na waliweza !! Au kama Zanzibar sio Afrika, basi ok.

Hako kakisiwa JWTZ wamejaa huko sasa patakua na nafasi ipi ya wanajeshi wa kigeni kuja, uwepo wa wingi wa JWTZ ndio pia imechangia usalama dhidi ya ugaidi. Wakati nilikua Zenji nilikua nawaona hao JWTZ yaani wanatembea na madubwasha yao mbele ya raia, yaani wako wengi sana.
 
We ni mtu fara sana joh.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MK 254 poleni na kashkash za alishabaab.. Natumai mtafanya kila linalowezekana hivi visa visijirudie tena… Waafrika tuna changamoto nyingi mno zaidi ya kambi za kijeshi.. Asilimia kubwa ya watu wetu wanakunya porini bado.. Hawana umeme wala maji safi.. Madawa nayo mtihan sana.. Sijui nani katuroga
Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa nini mmekubali kutumika
 
Umeandika vizuri sana Much love and respect.

Poleni wakenya
 
Oh No!!! What a poor thinker Kenyans!! Definitely, they don't know what is coming for them!
Us has bases in Afghanistan, Iraq, Syria, Philippines, and Colombia I guess! But look critically the security situation in those countries!!
 
Ugaidi ni idea au fikra potofu ambazo zinapandikizwa vichwani mwa watu tangu utotoni kwenye shule za kidini hilo limedhibitika kule Pakistan, mashariki ya Kati nk. Wakati wanauwawa wengine, Wengine wanazaliwa . Ni Kama mbu ili utokomeze malaria angamiza sehemu ya kuzalishia weka mazingira safi. Mbinu za ziada zinahitajika badala ya makambi makubwa ya kijeshi Pekee. Russia wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa chechnyia Na Syria. Trump ameona hilo Syria na ameona hilo Afghanistan ( forever war) ameanza kuondoa wanajeshi huku akianza kutumia njia mbadala. Pole kwa wote waliopoteza ndugu na majeruhi kwenye mashambulizi ya ugaidi. Hawa magaidi wanapandikizwa roho ya unyama tangu utotoni hawana chembe ya huruma hata kidogo wanafurahia kufa.
Kwenye picha hapo chini ni Komandoo wa uingereza kutoka kikosi maalumu cha SAS akiwa kwenye uokozi.
Kwa mujibu wa mwandishi alikuwa Kenya kufundisha jeshi la Kenya , mashambulizi yalipoanza akawa miongoni kwa waliowahi kuokoa
 

Attachments

  • E474567D-9B28-4541-8575-F9EAA4F4CCFE.jpeg
    21.6 KB · Views: 17
  • 0FB77F03-E849-4DDA-A02B-4A26663D15EE.jpeg
    17.5 KB · Views: 19
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…