Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,112
Hakika Ktk wema wa Mungu hukupa kilicho chema.Mungu ni mwema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Ktk wema wa Mungu hukupa kilicho chema.Mungu ni mwema
nani anafanya biashara kipindi kama hichi duniani ni tanzania tu ndio tunaishi kama tupo dunia ya kwetu peke yetu.Kwa nini wasizitoe nje ya Nchi? Yan wawakopeshe wafanyabiashara wa mataifa mengine kwa riba nafuu
pesa zinatoka kuna serikali toka corona imeingia wanasurvive kwa pesa za ruzuku kutoka nje huko mfano rwanda, kenya kiasi na nchi nyingine nyingii sisi tanzania ni maskini jeuri tu ingawa tunapokea hizo pesa kwa mkono wa nyuma..Inawezekana Mkuu, Kuna kipindi Mo alienda Bank za S.Africa kuomba mkopo kwa ajili ya biashara zake. Au kama vipi wakopeshe serikali za nchi mbalimbali ambazo zina uhitaji wa dola kwa riba nafuu. Hii inaweza kupunguza tatizo kidogo
So ina maana hilo tatizo ni baada ya pesa kutolewa?pesa zinatoka kuna serikali toka corona imeingia wanasurvive kwa pesa za ruzuku kutoka nje huko mfano rwanda, kenya kiasi na nchi nyingine nyingii sisi tanzania ni maskini jeuri tu ingawa tunapokea hizo pesa kwa mkono wa nyuma..
Mkuu unahis biashara ifanyike physically? Biashara zinafanyika kama kawaida kama hujaon hilo basnani anafanya biashara kipindi kama hichi duniani ni tanzania tu ndio tunaishi kama tupo dunia ya kwetu peke yetu.
biashara haziendi kama kawaida haina maana kwamba watu wamesimamisha kabisa biashara ila biashara zisizo za lazima nyingi zimesimamishwa kwa sasa dunianiMkuu unahis biashara ifanyike physically? Biashara zinafanyika kama kawaida kama hujaon hilo bas
mzunguko wa biashara umepungua kwa kasi sana hivyo umesababisha mzunguko wa pesa kupungua kwa sababu mitaji ya watu ipo kwenye sehemu mbili kwenye bidhaa ambazo haziuziki sana kipindi hiki au zipo benki kwa sababu ya hali ya sasa watu wanahofu na situation iliyopo hivyo imepelekea banks nyingi hasa za biashara kuwa na kiwango kikubwa cha pesa watu wengi na makampuni wanahifadhi zaidi pesa kuliko kutumia.Mkuu unahis biashara ifanyike physically? Biashara zinafanyika kama kawaida kama hujaon hilo bas
Hizo fedha watu wanataka kuwek akiba bank wamezitoa wap? Kwa upande mwingin biashara zimefanyika sana hasa biashara za mitandaoni.mzunguko wa biashara umepungua kwa kasi sana hivyo umesababisha mzunguko wa pesa kupungua kwa sababu mitaji ya watu ipo kwenye sehemu mbili kwenye bidhaa ambazo haziuziki sana kipindi hiki au zipo benki kwa sababu ya hali ya sasa watu wanahofu na situation iliyopo hivyo imepelekea banks nyingi hasa za biashara kuwa na kiwango kikubwa cha pesa watu wengi na makampuni wanahifadhi zaidi pesa kuliko kutumia.
Waje bongo, siye wamachinga tutakopa kwa riba nafuu, hatuna lockdown, watapiga pesa..Kwa nini wasizitoe nje ya Nchi? Yan wawakopeshe wafanyabiashara wa mataifa mengine kwa riba nafuu
Jaribu mkuuUnamaanisha nikichukua mkopo narudisha ileile niliyochukua?
Kwa mfano mahoteli ya Dubai na China wakulima wa mazao ya chakula huko China walio kuwa wana lima kwa ajili ya kwenye mahoteli lazima wapo kwenye hali mbaya sana ata apa sidhani kama hoteli ilikuwa ina nunua kuku 200 kwa sasa kama wataweza nunua idadi iyo!biashara haziendi kama kawaida haina maana kwamba watu wamesimamisha kabisa biashara ila biashara zisizo za lazima nyingi zimesimamishwa kwa sasa duniani