Marekani: Bilionea mwingine apanga safari ya kuchunguza Mabaki ya Titanic

Itakuwa Ni masharti wanapewa na Illuminati, na huenda Kuna Siri na maagano wanafanya kulingana na damu zilizomwagika pale. Sio bure
Wazungu wanafanikiwa sana kwasababu wanaamini ktk kufanya kazi (sayansi na teknolojia)
Waafrika nchi zao masikini sana kwasababu wanaamini ktk nguvu za giza na miujiza.
 
Danieli 12:4 Lakini wewe, Ee Danieli, yafunge maneno haya, ukakitie muhuri kitabu, hata wakati wa mwisho; wengi wataenda mbio huko na huko, na maarifa yataongezeka. But thou, O Daniel, shut up the words, and seal the book, even to the time of the end: many shall run to and fro, and knowledge shall be increased.
Watu wanakawaida ya kumjaribu MUNGU kwa mabaya hasa zama hizi yule alotengeneza meli ya Titanic nae baada ya kumaliza kutengeneza aliandika kuwa “ The unsinkable ship” alafu ndani ya meli kulikuwa na wengine wanafanya dhihaka na ufuska ndani ya meli hivyo MUNGU aliamua kuwaonesha kuwa ni yeye tu ndo anapaswa kutumainiwa! Haya huyu nae anataka kuinoesha dunia hapo kwenye kauli yake sijaona aliposema kuwa MUNGU akinitangulia ntakuja na taarifa njema kwani bila MUNGU aloumba bahari ba vyote sisi wanadamu hatuwez lolote ila amejisifu so hapo bado kuna shida wacha tusubiri majibu! Tupo kwenye nyakati za mwisho mnoooooo! Hatupaswi kuwa mbali na MUNGU.
 
Safari hii hata hicho chombo hatutakiona walah.
 
naona anga wamezichoka kwa sasa wanahamia kwenye bahari
Inasadikiwa Dunia imefanya machache sana chini ya maji kuliko mengi yaliyofanywa angani.
Acha sasa tusikie siri zilizofichikana chini ya maji
 
Hao wamekula kila aina ya starehe, wamebakiza kufa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…