Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

lissu risasi 38 na 7 mwilini mwake useme ni kukanya ndugu unatumia ubongo upi kufikiri...?? huyo trump zimepita risasi kadhaa useme nae anakanywa! kitu kimepiga sikio anaekanya hawezi kulenga maeneo hatarishi sikio lipo kichwani na asilimia ya kulipata sikio kwenye kichwa ni ndogo kuliko kupata kichwa chenyewe! wangemlamba ya mguuni paja au basi hata kwenye tako ndo tungetafsiri hilo ni onyo.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mkuu kunawatu hawakujaaliwa akili yakutambua mambo wasamehe bure😁😁😁
 
Point sio aina ya silaha ila point n wana lengo lipi kwenye hilo tukio. Kama lengo n kuuawa n lazima wangeenda na silaha husika
Mkuu silaha aliyobeba yule shooter ilikuwa ni rifle ( gauss rifle kama sikosei) na hii bunduki inaweza kutumiwa na sniper kama itaongezewa scope (lenzi) inayosaidia kulenga. Ninachoona hapo kama lengo lilikuwa kuua basi mlengaji alishindwa kufanya kazi yake.
 
He is fired !.
Waandishi wa US wanaendelea kupiga picha mpaka askari aliyewaelekezea bunduki badala kukimbia katika muda ambao hawajajua iwapo Trump yuhai au amekufa.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mkuu kunawatu hawakujaaliwa akili yakutambua mambo wasamehe bure😁😁😁
kuna watu wanajionaga humu ndani ni genius kumbe leo ndo nagundua ni viandazi...🤣
sijui wanatumia ubongo upi kufikiri nashindwa kuelewa bado!
 
Trump kapigwa risasi ya sikio kwahy unataka afe wakat amepigwa sehemu ambayo sio sensitive?
Saliva kapigwa risasi ya taya kwahy unataka afe wakat amepigwa sehemu ambayo sio sensitive?

Haya tuje kwa huyo Lissu nambie amepigwa risasi wapi sehemu sensitive Kwamba angekufa wakati huo huo au ht hosp?
Kama kuna risasi ziliwapata hao watu kichwan au kifuani na wakapona ndio ntakuelewa, ila kama wamepigwa sikioni, taya, mapajani, takoni bc usije ku-reply ht hii comment yangu.
 
naona watu wanasema mlengaji ana miaka 20 nahisi hakuwa na uzoefu sana na huenda wakati risasi inatoka ilimshinda ikashake aidha kutokana na kitete maana tukio alilokuwa analifanya sio lakuua mende ni kuua mtu mwenye status yake!.. nachoshangaa na aidha mpaka yeye anachoshangaa ni kwamba kawezaje kupita hadi kufanya hiyo action! .. hawa wapuuzi muda mwengine wanatumia psychology kuaminisha watu kuwa wanaulinzi makini ili uogope lkn ukute kuna tactics ukizifata unafanya jambo lako!.
 
Nguvu inayotumika kumpoteza jamaa ni kubwa, kufikia hatua ya kumkosa risasi ni ishara ya Trump kuwa hatari kwa wasiompenda.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mkuu kunawatu hawakujaaliwa akili yakutambua mambo wasamehe bure😁😁😁
Hao watu wamepigwa risasi maeneo gn ya mwili? Mtu amepigwa risasi za taco, mapajani, taya, sikioni unataka wafe wakat sio maeneo sensitive? Huyo Lissu angepigwa ya kichwan na angepona ndio nngesema lengo lilikuwa kuuawa
 
ingetokea Africa sasa ungesikia Makelele yake. Inakuwaje xpresident anapigwa kirahisi hivyo kwenye nchi yenye uzoefu wa raisi kuuwawa kwa staili ileile?
 
Duh huyu mzee Ana Mungu aise Kama kweli shooter alikuwa na lengo la kumuondoa akaponea Namna iyo bhas tuzidishe maombi
Kilichomsaidia huyu mzee ni mtindo wake wa kuzungumza huku anapindisha pindisha kichwa na kidole....a micro-second motion has saved him....otherwise Steve nyerere angeanza kukusanya rambirambi.
 
Aaa wapi...wapuuzi ni POLISI wa CCM jombaa....tukio kama hilo wangefika wakarusha mabomu ya machozi na kisha kudondosha pale bendera ya CHADEMA....Halafu ungesikilizia sasa hilo tamuko la IGP siyo RPC tena mbele ya vyombo vya habari......
Unaongea fikra zako za Bavicha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…