Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

1721366436784.png

Do not believe them,this is false flag season in America
 

Attachments

  • 1721366316498.png
    1721366316498.png
    269.5 KB · Views: 2
Democrats walimshinda kwa kura mwaka 2020. Hiyo sio hoja. La msingi zaidi ni kusubiri majibu ya uchunguzi.

Shambulio linachunguzwa kama assassination attempt. Which is obvious ukizingatia mazingira ya tukio lenyewe.

Hata hivyo, hili tukio kwa kiasi kikubwa linaweza kuathiri public opinion in favor of Trump kwenye uchaguzi ujao.
🤣🖕🖕
 
Back
Top Bottom