Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Wazazi wake ni registered Democrats.

Yeye kuwa registered Republican haimaanishi chochote.

Yawezekana alijiandikisha hivyo ili kupoteza lengo.

Maana kama wazazi wake ni Democrats. Na yeye mwenyewe aliwachangia hela Democrats, uwezekano ni mkubwa sana alijindikisha ili kupoteza lengo.
Screenshot_20240714-231928_X.jpg
 
Alijiandikisha lini? na kuhama chama pia inawezekana tu, Hata Trump mwenyewe huko alihamia tu alikuwa Democrat miaka yote.

Tuki rudi kwenye hoja, mimi sidhani kwamba mapenzi ya chama inafuata wazazi? Inawezekana lakini kwa huyo nimesoma wanasema ni republican, sasa hiyo michango yake sijui kama inamfanya awe Democrat.

Mbona hawa matajiri nasikia huwa wana toa pote pote pia? nitakwa la kisheria au ni mapenzi ya mtu?
Sahihi
 
Na pia anaposema '' congress'' inakuwa dominated na Republicans si kweli. Nancy Pelosi alikuwa Speaker, sasa hivi Senate ni Chuck Schumer. Nadhani hajaelewa kwamba congress ina sehemu mbili, Senate na House.
Congress inabadilika kutokana na matokeo ya general na midterm. Kusema kuna ''dominate' sijamuelewa
Whatever, call it house of representatives Republicans ni majority. So sio kweli kwamba republicans wanategemea mfumo wa kura za urais ndio washinde
 
Whatever, call it house of representatives Republicans ni majority. So sio kweli kwamba republicans wanategemea mfumo wa kura za urais ndio washinde
Unafaham mfumo wa ''electoral college' unavyofanya kazi?
Yes kwasasa house ipo kwa GOP lakini hiyo hubadilika kutegemea uchaguzi hasa midterm

Hakuna uhusiano kati ya 'electoral college' na viti katika house. Electoral college in viti 270 , House in reps 420.
Na senate ina 100. Just FYI
 
Hakuna uhusiano kati ya 'electoral college' na viti katika house. Electoral college in viti 270 , House in reps 420.
Na senate ina 100. Just FYI
Umeelewa hoja nayopinga? Yule kasema republicans hushinda urais kisa hizo electoral college votes ila hawana wafuasi.

Ndio nawauliza kivipi bungeni wana majority hadi spika Johnson ni republicans ikiwa hawana wafuasi na kura?
 
Kufuatia kukosekana kwa utulivu wa kisiasa nchini Marekani hasa wakati huu kuelekea uchaguzi mkuu tunawasihi wamarekani kumaliza tofauti zao kwa njia za amani. Tutatuma timu ya uchunguzi ili kujua kwa kina kinachoendelea. Watanzania wote waliopo Marekani wanashauriwa wawe karibu kimawasiliano na ubalozi wao ili kujua kinachoendelea. Tunawasihi watanzania wote wenye safari za kuelekea Marekani kuahirisha kwa muda huu hadi pale hali ya kiusalama itakapotengemaa.
FB_IMG_1721027483951.jpg
 
Wewe ni nawe !.

Huna jipya!

Umejaa maconsiperacies kichwani

Wewe na Mathanzua hamuna tofauti
Wewe unauhakika gani kwamba ulichosikia kwenye MSM ni kweli?Si ajabu ulikwenda kwa Babu wa Loliondo "ukakipiga" kikombe na ulichanjwa C-19 vaccine wewe, maana unaonekana ni mjinga kweli kweli. So unaamini tu chochote ulichoambiwa,mm,huo ni ujinga.Mtu mwenye akili kubwa haamini amini tu mambo,anaya hoji.Kwa mtizamo wangu kuamini anything out of the US is synonymous to believing the Devil.The US is such a lying entity,na ndio maana inaitwa the "Empire of Lies."
 
Kufuatia kukosekana kwa utulivu wa kisiasa nchini Marekani hasa wakati huu kuelekea uchaguzi mkuu tunawasihi wamarekani kumaliza tofauti zao kwa njia za amani. Tutatuma timu ya uchunguzi ili kujua kwa kina kinachoendelea. Watanzania wote waliopo Marekani wanashauriwa wawe karibu kimawasiliano na ubalozi wao ili kujua kinachoendelea. Tunawasihi watanzania wote wenye safari za kuelekea Marekani kuahirisha kwa muda huu hadi pale hali ya kiusalama itakapotengemaa.
View attachment 3042771
Wewe kama nani!!?
Kwani Marekani kunani!!?
Mbona hatujaona kauli ya kiofisi ya Foreign!!??
 
Kwa matatizo lukuki tuliyonayo sisi hapa Tanzania yanayosababishwa na watawala hasa awamu ya sita ni Bora ukawashauri watanzania namna ya kujikwamua kiuchumi kuliko kukimbilia ya marekani
 
Kufuatia kukosekana kwa utulivu wa kisiasa nchini Marekani hasa wakati huu kuelekea uchaguzi mkuu tunawasihi wamarekani kumaliza tofauti zao kwa njia za amani. Tutatuma timu ya uchunguzi ili kujua kwa kina kinachoendelea. Watanzania wote waliopo Marekani wanashauriwa wawe karibu kimawasiliano na ubalozi wao ili kujua kinachoendelea. Tunawasihi watanzania wote wenye safari za kuelekea Marekani kuahirisha kwa muda huu hadi pale hali ya kiusalama itakapotengemaa.
View attachment 3042771
Nimeipenda hii! Maana wao huwa ni mahodari wa kutoa statement kama hizi
 
Back
Top Bottom