Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Hivi mnafikiria hao sniper ni robot au majini? hata wanapokwenda kufanya matukio na wao wanaogopa...
Yaan sniper wa mauaji aogope kuua au kuuliwa..!!?......hv unaonaga wale jamaa wanovaaga mabomo na kujilipua they have nothing to loose,

Mi naona hii ni movie ya Arnold sema wenzetu wapo vzuri kwa kutengeneza scene..
 
Love him or loathe him, this photo is fcuking iconic!!

View attachment 3041767
Wanawake waachwe wafanye kazi za kike tu, kama vile kupika, kuosha vyombo nk.

Hapo ukiangalia picha unaona kabisa demu anaogopa kupigwa risasi.

Badala ya ku bodyguard yeye amebend chini na kuacha sehemu kubwa hatari za target kuwa wazi.
 
Kusema Republicans wamefake hili tukio ni upumbavu wa hali ya juu.

Hili lilikuwa ni jaribio la mauaji kwa trump na ni kudra za Mungu tu zimemuokoa na linapaswa kukemew kwa nguvu zote

Mdunguaji ameuawa lakini bado tukio hili linapaswa kuchunguzwa kiundani mno.

Kuna uzembe mkubwa sana umefanywa na secret service wafuasi wa trump walimuona kijana huyu aliyetekeleza jaribio hili tokea akiwa anapanda kwenye jengo akiwa na bunduki aina ya rifle, Wakashout kuwashtua police na secret service lakini respond yao ikawa ni ndogo/kupuuza hii inafikirisha.

Afrika tunalaani sana tukio hili na tunawataka mkurugenzi wa secret service aliyekuwa incharge wa eneo la kampeni za trump zinafanyika kujiuzulu mara moja, na waandamizi wote wanapaswa kufunguliwa mashtaka na wakashtakiwe kijeshi.

Pia Afrika tunampa pole Trump na tunamuhakikishia usalama na akihitaji ulinzi kutoka kwetu tupo tayari.
 
Wanawake waachwe wafanye kazi za kike tu, kama vile kupika, kuosha vyombo nk.

Hapo ukiangalia picha unaona kabisa demu anaogopa kupigwa risasi.

Badala ya ku bodyguard yeye amebend chini na kuacha sehemu kubwa hatari za target kuwa wazi.
Siyo kosa lake. Kinachomfanya anayelindwa kuinua mikono juu kiushindi badala ya kuinama chini ni nini?
 
Hatimaye FBI imeshamtambua Mhusika wa shambulio lililofanyika katika Speech ya Donald Trump na kumdhuru Rais wa zamani wa USA ambaye pia anagombea na ana uwezekano mkubwa wa kushika nafasi hiyo tena kwa awamu ya pili

Dogo aliyehusika anaitwa Thomas Matthew Crooks mwenye miaka 20, anayetokea Bethel Park. Nilisema U.S.A sio Bongo hii ya tume za kuchukua muda mrefu katika uchunguzi.

Unaweza kusoma zaidi kupia link hii

 
Siyo kosa lake. Kinachomfanya anayelindwa kuinua mikono juu kiushindi badala ya kuinama chini ni nini?
Target Huwa analazimishwa kuinama na sio kwa matakwa yake.

Unashikwa nyuma ya shingo kisha unapelekwa kama kibaka.

Kuna rais wao mmoja nae alinusurika(jina limenitoka) ila body guard mmoja alikufa, angalia video ile uone utofauti. Target (rais)mwenyewe anasimulia anakwambia alitupwa kwenye gari kama mzigo. Ila risasi zilimkwaruza kama trump ilivyomkwaruza sikio.
 
Kama ni hivyo huyo dada anafanya kazi yake. Kamshika kiunoni ainame. Hao wanaume ndiyo hawajafanya kazi yao ya kumuinamisha. Lakini wewe unasema huyo mwanamke ndiyo kazingua!!.
 
Hao ni Magaidi wa Israel wakishirikiana Gaidi mwenzao Biden wanataka watimize azma na wanajua fika Trump atashinda.
🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨

First, they tried to silence Donald Trump.

Then, they tried to jail Donald Trump.

Now, they have tried to assassinate Donald Trump.

What are they so afraid of?
 

Attachments

  • IMG_20240714_132428.png
    235.9 KB · Views: 1
United States political establishment ( deep state ) Ndio wako behind hii kitu .
Wao wanaangalia maslahi yao , hawaangalii wewe ni republican au democrat
Ukipingana nao ,lazima wakumalize
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…